Mwenye experience na majani haya ya kupunguza uzito

Kumbuka excess proteins inahifadhiwa kwenye mwili as fat in form of fatty acids. Nyama, maziwa ngano products zinakiwango kikubwa cha proteins.
Nyama aina gani? Kuna white meat na red meat ujue? Ukiacha vyakula vya protein kinachofuatia si utaambiwa ule Maji? Muhimu ni kula kwa kiasi tu
 
Nyama aina gani? Kuna white meat na red meat ujue? Ukiacha vyakula vya protein kinachofuatia si utaambiwa ule Maji? Muhimu ni kula kwa kiasi tu
NB: rejea post ya kwanza nimesema kupunguza kiasi cha wanga na protein. hulazimishwi ni kwa afya yako tu
 
CD hizo ulizipata wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…