Mwenye experience na majani haya ya kupunguza uzito

Mwenye experience na majani haya ya kupunguza uzito

Kumbuka excess proteins inahifadhiwa kwenye mwili as fat in form of fatty acids. Nyama, maziwa ngano products zinakiwango kikubwa cha proteins.
Nyama aina gani? Kuna white meat na red meat ujue? Ukiacha vyakula vya protein kinachofuatia si utaambiwa ule Maji? Muhimu ni kula kwa kiasi tu
 
Nyama aina gani? Kuna white meat na red meat ujue? Ukiacha vyakula vya protein kinachofuatia si utaambiwa ule Maji? Muhimu ni kula kwa kiasi tu
NB: rejea post ya kwanza nimesema kupunguza kiasi cha wanga na protein. hulazimishwi ni kwa afya yako tu
 
Hayo majani nilishawahi kuyatumia yanasaidia kukufanya kupunguza ham ya kula lakin hayakufany upuungue,
msaada ambao ulinisaidia mimi kupungua na mpaka leo unanisaidia ni mazoez na kupunguza kula sana,kula vyakula vyenye afya basi.mazoez najua wengi ni wavivu kufanya hasa wanawake lakin mimi nilichofanya nilitafuta cd za mazoez hizo ndio zinanidaia maana unafanya muda wowte unaonataka
CD hizo ulizipata wap?
 
Back
Top Bottom