lete rimoti
Senior Member
- Aug 24, 2021
- 152
- 196
Wakuu Habari zenu?
Nimeona mahali jamaa akizungumzia kuhusu hili tukio lililopewa jina la Battle of Manzese.
Alidai kwamba kuna wasomi walitaka kuliamsha balaa, ambalo lilitokana na kuwatetea wananchi masikini.
Lakini badala yake wananchi wakakimbia, wakawaachia msala wasomi wa vyuo vikuu! Sasa nilikuwa naomba mwenye habari kamili kuhusu tukio hili atukumbushe ambao hatukuwa tunalijua.
Nimeona mahali jamaa akizungumzia kuhusu hili tukio lililopewa jina la Battle of Manzese.
Alidai kwamba kuna wasomi walitaka kuliamsha balaa, ambalo lilitokana na kuwatetea wananchi masikini.
Lakini badala yake wananchi wakakimbia, wakawaachia msala wasomi wa vyuo vikuu! Sasa nilikuwa naomba mwenye habari kamili kuhusu tukio hili atukumbushe ambao hatukuwa tunalijua.