Mwenye hii namba +255784686681 ni tapeli.

Mwenye hii namba +255784686681 ni tapeli.

Hypersonic

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
829
Reaction score
1,564
Wakuu kuna mtu anatumia hii namba +255784686681 kutuma sms kwenye simu mbalimbali na kujifanya yeye ni ofisa wa jeshi la wananchi kwamba kuna nafasi zimetoka apigiwe simu, ukimpigia na kumhoji maswali akishagundua umemstukia unaishia kuambulia matusi. Namba imesajiliwa kwa jina la Gervaz Lyeiza
 
Ukiona unaweza kutapeliwa kwa njia ya simu lazima kichwani haupo vizuri,hao watu wakiingia anga zangu huwa na relax na Mimi ndiyo nakuwa Kama nimepiga hiyo simu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nawafanyiaga cross examination za kibabe,wanaishia kukata simu.
 
Ukisha mjua nitapeli unaangaika nae wann. Sipotezi mda wakumpgia kwanza kazi ya jeshi haiombwi kupitia simu..labda kama umnyasa ndo utatapeliwa
 
Ukisha mjua nitapeli unaangaika nae wann. Sipotezi mda wakumpgia kwanza kazi ya jeshi haiombwi kupitia simu..labda kama umnyasa ndo utatapeliwa
Unadhani ni wangapi anaowatapeli ambao huelewa wao ni mdogo? tatizo la watanzania nikuona kila jambo halikuhusu. Mimi naijua mifumo yote ya ajira nchi kuanzia serikali kuu, serikali za mitaa, vyombo vya ulinzi na usalama, sekta binafsi, NGO Nk. Mimi nimetoa taarifa tu
 
Wakuu kuna mtu anatumia hii namba +255784686681 kutuma sms kwenye simu mbalimbali na kujifanya yeye ni ofisa wa jeshi la wananchi kwamba kuna nafasi zimetoka apigiwe simu, ukimpigia na kumhoji maswali akishagundua umemstukia unaishia kuambulia matusi. Namba imesajiliwa kwa jina la Gervaz Lyeiza
Mkuu una utani na Mh. Mwigulu Nchemba? Hii ni personal namba yake, amekutapeli nini mwenzetu, tozo au?
 
Unadhani ni wangapi anaowatapeli ambao huelewa wao ni mdogo? tatizo la watanzania nikuona kila jambo halikuhusu. Mimi naijua mifumo yote ya ajira nchi kuanzia serikali kuu, serikali za mitaa, vyombo vya ulinzi na usalama, sekta binafsi, NGO Nk. Mimi nimetoa taarifa tu
Watu wakanda ya ziwa nahuko kusini kusini ndowanaongoza kwakutapeliwa
 
Back
Top Bottom