Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Unadhani ni wangapi anaowatapeli ambao huelewa wao ni mdogo? tatizo la watanzania nikuona kila jambo halikuhusu. Mimi naijua mifumo yote ya ajira nchi kuanzia serikali kuu, serikali za mitaa, vyombo vya ulinzi na usalama, sekta binafsi, NGO Nk. Mimi nimetoa taarifa tuUkisha mjua nitapeli unaangaika nae wann. Sipotezi mda wakumpgia kwanza kazi ya jeshi haiombwi kupitia simu..labda kama umnyasa ndo utatapeliwa
Mkuu una utani na Mh. Mwigulu Nchemba? Hii ni personal namba yake, amekutapeli nini mwenzetu, tozo au?Wakuu kuna mtu anatumia hii namba +255784686681 kutuma sms kwenye simu mbalimbali na kujifanya yeye ni ofisa wa jeshi la wananchi kwamba kuna nafasi zimetoka apigiwe simu, ukimpigia na kumhoji maswali akishagundua umemstukia unaishia kuambulia matusi. Namba imesajiliwa kwa jina la Gervaz Lyeiza
Watu wakanda ya ziwa nahuko kusini kusini ndowanaongoza kwakutapeliwaUnadhani ni wangapi anaowatapeli ambao huelewa wao ni mdogo? tatizo la watanzania nikuona kila jambo halikuhusu. Mimi naijua mifumo yote ya ajira nchi kuanzia serikali kuu, serikali za mitaa, vyombo vya ulinzi na usalama, sekta binafsi, NGO Nk. Mimi nimetoa taarifa tu