Mwenye HIV ajitangaze kwa wapenzi wake, vinginevyo Lupango?



Naamini mtalindana vizuri. Kwanini mnawambia watu walindane baada ya Kupima na si kabla ya kupima??
 
Tusifanye ngono zembe. Tumia condom kila mara unapofanya tendo la kujamiiana period!!

Kwa maana nyingine usifanye ngono chini ya influence ya pombe ama madawa ya kulevya. Ukishakua chakari ni kishawishi nambari wani kukushawishi kua ngono nyama-kwa-nyama ni bora hata kama utaambukizwa HIV.
Nadhani spring chicken vile vile ni kishawishi tosha kuamua kutupilia mbali condom, hivyo acha dogodogo.
 
Huko kwa wazungu ni sawa kua na sheria ya ukimwi kwa kua kipindu pindu, malaria na magonjwa mengine ya maambukizo ama ya mlipuko wamesha yadhibiti.

Hapa kwetu Tz, ni bora tungekua na sheria ya malaria kuliko ya ukimwi tuliyonayo kwa sababu malaria inaua zaidi ya ukimwi. Halafu magereza yameshajaa na wala mapya hayajengwi na pia hatuna pesa ya kuwalisha wafungwa na huko magerezani ndio kinara kwa kueneza ukimwi.

Tungekua na sheria ya malaria ingekua na lengo la kudhibiti maenezi ya mazalio ya viluilui vya malaria, na kwa namna nyingine badala ya Bush, serikali ingejiwajibisha kusimamamia kutokomeza malaria, kipindu pindu na magonjwa ya minyoo tokana na uchafu wa mazingira ama na kukosa vyoo, nk.
 

hii ndiyo inaitwa kufikiri nje ya box! thanks!
 

Ninaomba msaaada kwenye ufafanuzi wa sheria ya mfano. inaa maana inafanywia majaribio?au inatumika kwenye maigizo? Kama ni majaribio yanafanyika wapi kwa nn hii ya ukimwi ianzie kwenye mfano na sio nyingine.
 
Hivi chanzo cha HIV ni nini hichi kirusi kilitoka wapi? Je hakuna mchezo mchafu juu ya kueneza habri za uongo juu ya hichi kirusi? Kwani nini Tabo mbeki aliwai kusema HIV sio kiini cha AIDS?

watch this clip and you will be further shocked http://video.google.com/videoplay?docid=-8142733917997460212#

It feature-length expose explains exactly how the 300-Billion-dollar AID$ fraud began, why HIV can NOT be the cause of AIDS, what the real causes could be, and who manipulates the public’s good intentions while poisoning hundreds of thousands with toxic drugs that cause the very disease they are supposed to prevent. This is a systematic dissection of the HIV/AID$ machine and how they hijacked a program designed to fight a worldwide plight of human suffering and drove it down the road to hell. Yet this program offers hope, inspired by the courage and articulate arguments of a group of growing voices internationally challenging the HIV=AIDS=DEATH hysteria. A MUST SEE for anyone interested in truly understanding the facts about HIV/AID$.

You will meet a number of highly reputable scientists who all agree that HIV doesn't cause AIDS, including Dr. Peter Duesberg, who was the first scientist to map the genetic structure of retroviruses. He is joined by Nobel Prize winners Dr. Kary Mullis and Dr.Walter Gilbert, along with Dr. David Rasnick, an expert in the field of protease inhibitors.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…