Mahai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2010
- 351
- 38
nilivyosisimkwa na hiyo habari, imenipasa nifikishe maamuzi yafuatayo...............!
i. kila mtu atakae gundulika anangoma, HIV, adungwe sindano ya sumu, ajifie kimya kimya, hii itakua sheria katili na mbaya sana, lakini miaka kumi mbele TANZANIA itakua taifa huru dhidi ya UKIMWI. najua nitapingwa lakini hakuna jambo zuri lisilo na gharama zake.
ii. Sheria ya juu..[proposed law] itafanikiwa ikiwa tu , kwenye bandari zetu, mipaka yetu yote, viwanja vya ndege tutaweka sheria kali na ngumu ya kupima HIV, ikigundulika Muhamiaji amenasa , ana uchaguzi adungwe sindano yetu ile ya Sumu kali sana ajifie ama ageuke na kurejea nnchini kwake haraka sana.
iii. Guest house zote zivunjwe na zifungwe....maana zaidi ya 40% ya waliopata hili janga wamelipatia katika nyumba za kulala wageni....hebu jiulize mgeni atoke Ubunge akapange chumba kule Kigamboni ama kijichi, jamani hizi nyumba ni danguro tu.
Kuna watoto wamezaliwa na huu ugonjwa na wamefika mbali sana kielimu, ungeshauri na wao wachomwe sindano wafe? Kila mtu anao uhuru wa kuishi, kama hutaki kuambukizwa Ukimwi pima mtu kabla hujatembea naye.