Mwenye jengo akamatwe, eneo liuzwe, mali zake zifilisiwe, halafu hela zote wapewe majeruhi na waliofiwa

Mwenye jengo akamatwe, eneo liuzwe, mali zake zifilisiwe, halafu hela zote wapewe majeruhi na waliofiwa

Niaje waungwana

Kwa kile kilichotokea jana hapo K'koo, mimi nashauri kwanza mwenye ghorofa lililoanguka akamatwe, mali zake zifilisiwe, na kiwanja kilichokuwa na jengo kiuzwe ili hela zitakazopatikana zitumike kuwasaidia wale wote waliojeruhiwa na waliofiwa na baba zao, wame zao, wake zao, watoto wao nk.

Ni ukweli ulio wazi kwamba baada ya msiba huu wa taifa kuisha na kila mtu kuendelea na maisha yake, kuna ndugu zetu ambapo watabakia na ulemavu wa kudumu, kuna watu ambao watabakia mayatima baada ya kupoteza baba au mama katika janga hilo. Sasa watu wa aina huyo ni nani atakaewasaidia kuwasomesha, kuwalea, kuwahudumia nk.

Najua kwa upande wa serikali ni vigumu sana wahanga kupata msaada hapo baadae. Maana janga likishaisha kila mtu ataelekea ya kwake, hivyo waliofiwa na wazazi wao hawatopata msaada tena. Kwa nchi za wenzetu ile bajeti inayotengwa kila mwaka kwa ajili ya majanga ingetumika kuwasaidia waliokumbana na majanga hayo japo kwa kuwapa mitaji waathirika.

Lakini kwa nchini kwetu ndo hivyo tena, fedha za majanga zinaishia kutumiwa na viongozi fulani kwa kununua viwanja na kujenga majengo makubwa makubwa huko Mbweni, Salasala, Bunju nk.

Halafu yanapotokea majanga ya ghafla kama haya unakuta wanakuja na majembe pamoja na kuleo kuchimbia kifusi kizito cha tani zaidi ya 50. Kuna watu wameachwa yatima wengine wamepoteza viungo vyao kizembe kwa sababu ya tamaa ya mtu mmoja.

Hivyo huyo mtu aadhibiwe kwa kunyang'anywa kiwanja ili kuizwe na hela kupelekwa kwa wahusika, hii ikiwa pamoja na kutaifisha mali zake zote alizochuma iwe kihalali au kiharamu ili kufidia hasara aliyowapa wenzake hapa duniani na pia iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wenye mawazo finyu kama yake.

Soma Pia: Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16

Ushauri mzuri kwa mamlaka na wahusika mbali mbali.

RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.

Asanteni

Wewe jiulize kwanini mpaka leo hatajwi mwenye jengo?. Lakini kuna wapangaji wa hilo jengo, hivi hawamjui nani mmiliki?
 
Wewe jiulize kwanini mpaka leo hatajwi mwenye jengo?. Lakini kuna wapangaji wa hilo jengo, hivi hawamjui nani mmiliki?
Uchunguzi unafanyika, muda sio mrefu atafikiwa tu na yeye.
 
Niaje waungwana

Kwa kile kilichotokea jana hapo K'koo, mimi nashauri kwanza mwenye ghorofa lililoanguka akamatwe, mali zake zifilisiwe, na kiwanja kilichokuwa na jengo kiuzwe ili hela zitakazopatikana zitumike kuwasaidia wale wote waliojeruhiwa na waliofiwa na baba zao, wame zao, wake zao, watoto wao nk.

Ni ukweli ulio wazi kwamba baada ya msiba huu wa taifa kuisha na kila mtu kuendelea na maisha yake, kuna ndugu zetu ambapo watabakia na ulemavu wa kudumu, kuna watu ambao watabakia mayatima baada ya kupoteza baba au mama katika janga hilo. Sasa watu wa aina huyo ni nani atakaewasaidia kuwasomesha, kuwalea, kuwahudumia nk.

Najua kwa upande wa serikali ni vigumu sana wahanga kupata msaada hapo baadae. Maana janga likishaisha kila mtu ataelekea ya kwake, hivyo waliofiwa na wazazi wao hawatopata msaada tena. Kwa nchi za wenzetu ile bajeti inayotengwa kila mwaka kwa ajili ya majanga ingetumika kuwasaidia waliokumbana na majanga hayo japo kwa kuwapa mitaji waathirika.

Lakini kwa nchini kwetu ndo hivyo tena, fedha za majanga zinaishia kutumiwa na viongozi fulani kwa kununua viwanja na kujenga majengo makubwa makubwa huko Mbweni, Salasala, Bunju nk.

Halafu yanapotokea majanga ya ghafla kama haya unakuta wanakuja na majembe pamoja na kuleo kuchimbia kifusi kizito cha tani zaidi ya 50. Kuna watu wameachwa yatima wengine wamepoteza viungo vyao kizembe kwa sababu ya tamaa ya mtu mmoja.

Hivyo huyo mtu aadhibiwe kwa kunyang'anywa kiwanja ili kuizwe na hela kupelekwa kwa wahusika, hii ikiwa pamoja na kutaifisha mali zake zote alizochuma iwe kihalali au kiharamu ili kufidia hasara aliyowapa wenzake hapa duniani na pia iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wenye mawazo finyu kama yake.

Soma Pia: Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16

Ushauri mzuri kwa mamlaka na wahusika mbali mbali.

RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.

Asanteni
Yeye hajaiba anavibali halali kabisa vya kuboresha ujenzi hapo.
 
Niaje waungwana

Kwa kile kilichotokea jana hapo K'koo, mimi nashauri kwanza mwenye ghorofa lililoanguka akamatwe, mali zake zifilisiwe, na kiwanja kilichokuwa na jengo kiuzwe ili hela zitakazopatikana zitumike kuwasaidia wale wote waliojeruhiwa na waliofiwa na baba zao, wame zao, wake zao, watoto wao nk.

Ni ukweli ulio wazi kwamba baada ya msiba huu wa taifa kuisha na kila mtu kuendelea na maisha yake, kuna ndugu zetu ambapo watabakia na ulemavu wa kudumu, kuna watu ambao watabakia mayatima baada ya kupoteza baba au mama katika janga hilo. Sasa watu wa aina huyo ni nani atakaewasaidia kuwasomesha, kuwalea, kuwahudumia nk.

Najua kwa upande wa serikali ni vigumu sana wahanga kupata msaada hapo baadae. Maana janga likishaisha kila mtu ataelekea ya kwake, hivyo waliofiwa na wazazi wao hawatopata msaada tena. Kwa nchi za wenzetu ile bajeti inayotengwa kila mwaka kwa ajili ya majanga ingetumika kuwasaidia waliokumbana na majanga hayo japo kwa kuwapa mitaji waathirika.

Lakini kwa nchini kwetu ndo hivyo tena, fedha za majanga zinaishia kutumiwa na viongozi fulani kwa kununua viwanja na kujenga majengo makubwa makubwa huko Mbweni, Salasala, Bunju nk.

Halafu yanapotokea majanga ya ghafla kama haya unakuta wanakuja na majembe pamoja na kuleo kuchimbia kifusi kizito cha tani zaidi ya 50. Kuna watu wameachwa yatima wengine wamepoteza viungo vyao kizembe kwa sababu ya tamaa ya mtu mmoja.

Hivyo huyo mtu aadhibiwe kwa kunyang'anywa kiwanja ili kuizwe na hela kupelekwa kwa wahusika, hii ikiwa pamoja na kutaifisha mali zake zote alizochuma iwe kihalali au kiharamu ili kufidia hasara aliyowapa wenzake hapa duniani na pia iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wenye mawazo finyu kama yake.

Soma Pia: Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16

Ushauri mzuri kwa mamlaka na wahusika mbali mbali.

RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.

Asanteni
Mmiliki jengo na biashara aliajiri kandarasi ya kupanua eneo kwenye 'basement' kwa kuvunja kuta na kuchimba ndio chanzo cha ghorofa kupiga magoti.

Kibali aliomba kutoka kwa mamlaka husika lakini hawakwenda kutathimini kama uwezekano wa upanuzi huo ulikuwa unawezekana bila kusitisha shughuli zingine za biashara katika jengo hilo, hivyo kuna utata hapo.........

Basement inayojengwa chini ya ardhi ni sharti iwe ni ya mfumo wa kichanja kilichosukwa kwa nondo kuanzia 16mm, 25mm na 45mm na kitanda/kitako cha kulalia uzito lazima kiwe na uwezo wa kunyumbulika.

Hata hivyo kwa tukio la kuanguka ghorofa Kariakoo sababu ni mbili kuu

1. Ramani ya ujenzi na vifaa ni hafifu
2. Kubadilisha ramani ya jengo chini ardhini kwa ajili kupanua maeneo ya kukodisha wafanyabiashara bila kuzingatia kanuni ya uhandisi na usalama

Check out the engineering structural setup
Underground Basement Construction Steps​

It involves digging a large pit in the ground, installing a temporary retaining wall around the perimeter, and then building the basement structure from the bottom up. The soil excavated from the pit can be reused or disposed of, depending on the site conditions and regulations.

  • Excavation: Contractors remove soil, rocks, and debris to create the desired underground space. They may use a backhoe or excavator to dig the pit.
  • Temporary support: Engineers design temporary devices to support the building during construction. Horizontal support prevents the soil from collapsing, while vertical support keeps the building from shifting.
  • Foundation: The engineer designs the foundations, walls, and bases for the basement.
  • Retaining wall: A temporary retaining wall is installed around the perimeter of the pit.
  • Construction: The basement structure is built from the bottom up.
  • Diaphragm walls: A reinforced concrete wall is built deep into the ground to provide structural support and prevent water seepage.
  • Roof slab: The roof slab for the first basement floor is created.
  • Superstructure: Construction of the superstructure begins.
  • Repeat: The process is repeated until the desired depth is reached.
  • Top-down: A technique where reinforced concrete diaphragms are cast in situ, followed by the creation of the roof slab.
  • Double bit: A common arrangement for basement construction.
  • Open-cut: A method that combines open-cut and top-down arrangements
1731934242295.png
 
Kama ana vibali halali vya kumiliki na kufanya maboresho aliyokuwa anafanya kama ni kweli, basi hagusiki?
Kingekuwa kipindi cha utawala wa ka Jiwe wala usingesema hivyo! Kwanza sasa hivi angekuwa ameshakamatwa na maafisa waliohusika wangekuwa mikononi mwa Jiwe! Hakika rushwa waliyokula ingewatokea sehemu zote zilizo wazi!
 
Dahihi i

La hawa watoa vibali ndio wenye shida ndio root . Mwenye Jengo atafanyaje hivyo bila permit?. Ni sababu ya waroho wachache maisha ya watu yameenda
Wakamatwe wote na wanyongwe hadi kufa! Kesi yao wala haihitaji kusikilizwa! Ni kukamata na kuhukumu hapo hapo!😁😁
 
Ati mwenye ghorofa akamatwe ebo ! Ninani alitoa kibali Cha kuruhusu jengo lifanye kazi na Hali hata ukiliangalia tu lilikuwa bovu? Ninani huwa anakusanya Kodi?

Mamlaka ya kudhibiti ubora na wakaguzi wote walikuwa wapi? Na sasa yapo mengine nimeyaona yana nyufa na kreki na mengine yameinama kabisa, serikali ikamatwe na iwajibishwe kwa uzembe huu ikiwezekana ihukumiwe kifungo gerezani.
 
Yeye hajaiba anavibali halali kabisa vya kuboresha ujenzi hapo.
Wewe unajuaje kama ana vibali halali vya kuboresha ujenzi?
Kama amehonga ili aboreshe tu bila vibali halali?
 
Mmiliki jengo na biashara aliajiri kandarasi ya kupanua eneo kwenye 'basement' kwa kuvunja kuta na kuchimba ndio chanzo cha ghorofa kupiga magoti.

Kibali aliomba kutoka kwa mamlaka husika lakini hawakwenda kutathimini kama uwezekano wa upanuzi huo ulikuwa unawezekana bila kusitisha shughuli zingine za biashara katika jengo hilo, hivyo kuna utata hapo.........

Basement inayojengwa chini ya ardhi ni sharti iwe ni ya mfumo wa kichanja kilichosukwa kwa nondo kuanzia 16mm, 25mm na 45mm na kitanda/kitako cha kulalia uzito lazima kiwe na uwezo wa kunyumbulika.

Hata hivyo kwa tukio la kuanguka ghorofa Kariakoo sababu ni mbili kuu

1. Ramani ya ujenzi na vifaa ni hafifu
2. Kubadilisha ramani ya jengo chini ardhini kwa ajili kupanua maeneo ya kukodisha wafanyabiashara bila kuzingatia kanuni ya uhandisi na usalama

Check out the engineering structural setup
Underground Basement Construction Steps​

It involves digging a large pit in the ground, installing a temporary retaining wall around the perimeter, and then building the basement structure from the bottom up. The soil excavated from the pit can be reused or disposed of, depending on the site conditions and regulations.

  • Excavation: Contractors remove soil, rocks, and debris to create the desired underground space. They may use a backhoe or excavator to dig the pit.
  • Temporary support: Engineers design temporary devices to support the building during construction. Horizontal support prevents the soil from collapsing, while vertical support keeps the building from shifting.
  • Foundation: The engineer designs the foundations, walls, and bases for the basement.
  • Retaining wall: A temporary retaining wall is installed around the perimeter of the pit.
  • Construction: The basement structure is built from the bottom up.
  • Diaphragm walls: A reinforced concrete wall is built deep into the ground to provide structural support and prevent water seepage.
  • Roof slab: The roof slab for the first basement floor is created.
  • Superstructure: Construction of the superstructure begins.
  • Repeat: The process is repeated until the desired depth is reached.
  • Top-down: A technique where reinforced concrete diaphragms are cast in situ, followed by the creation of the roof slab.
  • Double bit: A common arrangement for basement construction.
  • Open-cut: A method that combines open-cut and top-down arrangements
View attachment 3155380
Wewe umefafanua vizuri na kutoa sababu za kiufundi. Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom