Mwenye kitabu Cha kunifanya niwe na mawazo chanya

Mwenye kitabu Cha kunifanya niwe na mawazo chanya

jangos

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2023
Posts
208
Reaction score
231
Wakuu nahisi Nina shida psychologically...
Nashindwa kufanya Mambo mengi kwa sababu ya kuwaza hasi kila Mara, nahisi kama kitabu kitanisaidia zaidi kupambana na hali hii....
Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia nitashukuru sana
 
Wakuu nahisi Nina shida psychologically...
Nashindwa kufanya Mambo mengi kwa sababu ya kuwaza hasi kila Mara, nahisi kama kitabu kitanisaidia zaidi kupambana na hali hii....
Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia nitashukuru sana
Jaribu hiki
1734937316726.png
 
Wakuu nahisi Nina shida psychologically...
Nashindwa kufanya Mambo mengi kwa sababu ya kuwaza hasi kila Mara, nahisi kama kitabu kitanisaidia zaidi kupambana na hali hii....
Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia nitashukuru sana
Kwa ufahamu wangu ,inatakiwa ukae chini uainishe mambo gani yanayokufanya usiwe sawa kisaikolojia(Tiba ya kwanza ya kutibu tatizo ni kulijua) ..Baada ya hapo Unatakiwa pia ujifahamu ni mambo gani yanakuweka au yanakupa furaha mfano Kusoma vitabu,kusikiliza motivation speech,kutembea maeneo mapyah n.k

--Kitabu yes vipo mtandaoni una google tu au watu watakutumia,ila kumbuka mazingira ya maneno ya mwandishi yanaweza yasiwe sawa na mazingira Yako ila baadhi ya mambo hapo juu yatakusaidia
 
Nenda kwenye kurasa za Joel Nanauka kule Twitter na Instagram utapata madini ya kutosha ya kukufanya uchangamke kifikra.
 
Back
Top Bottom