Mwenye kitabu hiki, na mimi nakihitaji

Safi sana, hizi ndio thread tunazozitaka humu
 
Amazon huwa wanauza HARDCOPY na SOFTCOPY.
Kwa softcopy waweza isoma kupitia KINDLE application, Ipataikanayo kwa simu za android na Windows PC
ubarikiwe mkuu,ila kuna vitu huwa nawish to learn from you,pm huwa hurespond,fungua pm mkuu ukiwa great kwa kitu fulani kwenye jamii watu wengi watapenda kujifunza toka kwako
 
ubarikiwe mkuu,ila kuna vitu huwa nawish to learn from you,pm huwa hurespond,fungua pm mkuu ukiwa great kwa kitu fulani kwenye jamii watu wengi watapenda kujifunza toka kwako
Tumia mawasiliano yangu yanayopatikana hapa: www.bit.ly/101buy4me
Au njoo PM direct. Huwa najitahidi kujibu kila PM ninayopata, Iwapo ilitokea kutokujibiwa yawezekana ni kutokana na wingi wa PM ambazo huwa napa

Karibu
 


HABARI,
PATO8221
Unaweza kudownload kitabu hapa.Nshukuru pia PATO8221 sikuwa nafahamu hiki kitabu,
Ni kitabu kizuri zana nimeweka wazi kwa wote kunufaika.

LUMUMBA
 

Attachments

Kuna documentary and/or Makala pia ya Business to engage in Africa... Itafteni wadau.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…