BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
- #41
Safi mkuuDaah asante sana mkuu kina madini muhimu... Biashara ya kuonyesha mpira jamaa kaigusa vizuri sana naendelea kuifanyia kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi mkuuDaah asante sana mkuu kina madini muhimu... Biashara ya kuonyesha mpira jamaa kaigusa vizuri sana naendelea kuifanyia kazi
Karibu mkuu tufanyie kazi tu mana kila kitu kimewekwa kulewadau shukrani za dhati. nimekipakua nikakisoma. kitabu kizuri sana na kina mifano mizuri sana.
Shukrani mkuu....Acha tuingize knowledge kidogoHongera mpendwa nafurahi kuona kinakusaidia pia na wewe
ubarikiwe mkuu,ila kuna vitu huwa nawish to learn from you,pm huwa hurespond,fungua pm mkuu ukiwa great kwa kitu fulani kwenye jamii watu wengi watapenda kujifunza toka kwakoAmazon huwa wanauza HARDCOPY na SOFTCOPY.
Kwa softcopy waweza isoma kupitia KINDLE application, Ipataikanayo kwa simu za android na Windows PC
Tumia mawasiliano yangu yanayopatikana hapa: www.bit.ly/101buy4meubarikiwe mkuu,ila kuna vitu huwa nawish to learn from you,pm huwa hurespond,fungua pm mkuu ukiwa great kwa kitu fulani kwenye jamii watu wengi watapenda kujifunza toka kwako
Kwa mamia ya vitabu mbali mbali ingia hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...hitaji-nitafute.315875/page-120#post-23971498Safi sana, hizi ndio thread tunazozitaka humu
ahsante mkuuTumia mawasiliano yangu yanayopatikana hapa: www.bit.ly/101buy4me
Au njoo PM direct. Huwa najitahidi kujibu kila PM ninayopata, Iwapo ilitokea kutokujibiwa yawezekana ni kutokana na wingi wa PM ambazo huwa napa
Karibu
Wewe ni mtu wa maana sana!
[emoji122]Kwa mamia ya vitabu mbali mbali ingia hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...hitaji-nitafute.315875/page-120#post-23971498
Habari wajasiriamali wenzangu.
Naomba sana kuna hicho kitabu nimeweka cover picha yake hapo chini naomba kwa yeyote ambae ataweza kukipata basi sio vibaya na hatapungukiwa na chochote kama ataweza kushea nasi haswa wadau wa jukwaa hili la biashara, uchumi na ujiasiriamali..
Huyo kijana John Iwuoha tuseme ni mtaalamu sana wa kuchambua mada za kibiashara na uchumi na pia ana uelewa mpana wa FURSA za kibiashara hapa AFRIKA, mana sehemu nyingi ameshafika, na pia baadhi kama sio wote wafanyabiashara hua anazungumza nao na hua anaelezea japo kwa kifupi mfanyabiashara husika alipoanzia hadi kufikia alipo(mafanikio). Ana makala nyingi nzuri sana zenye kufafanua mambo kwa mtu yeyote kuweza kuelewa ambazo zipo katika website yake ya SMALLSTARTER.COM, huko pia utakutana na makala ya mfanyabiashara wa solar mtanzania milionea, Patrick Ngowi.
Kwahio kama kuna mdau yeyote atapata kitabu hiki basi asisite kutupia humu na wengine wajifunze, maana sio kila mmoja atakua na uwezo wa kukinunua, anauza kama 90$ hivi ambayo ni kama laki mbili za hapa kwetu Tanzania.
View attachment 610432
Shukrani kakaHABARI,
PATO8221
Unaweza kudownload kitabu hapa.Nshukuru pia PATO8221 sikuwa nafahamu hiki kitabu,
Ni kitabu kizuri zana nimeweka wazi kwa wote kunufaika.
LUMUMBA
Mkuu sema njia ipi utaweza pata kwa urahisi nkusaidieKwangu file halifunguki.
HABARI,Mkuu sema njia ipi utaweza pata kwa urahisi nkusaidie
Ngoja nijaribu kwa computer kwanza.Mkuu sema njia ipi utaweza pata kwa urahisi nkusaidie
asante mkuu kwa computer nimefanikiwa.Mkuu sema njia ipi utaweza pata kwa urahisi nkusaidie