Mwenye kitabu hiki nakiomba

Utopolo tu wa kusadikika umeaandikwa humo
Bora James Hardley Chase anafurahisha kwenye uwongo wake
 
Hutonufaika na chochote humo maana jamaa kaongopa mambo mengi tu humo...
nadhan

Nadhani hakuuliza faida wala hasara ,
Mtoa post kaomba Kitabu asome.
Kama unacho mwambie ni jinsi gani anaweza kukipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…