jackline Andrew
Member
- Dec 23, 2013
- 18
- 4
Ni kweli hiki ni kitu kipya katika sheria ya Tanzania? Kwa mwenye knowledge juu ya suala hili naomba anisaidie tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hiki ni kitu kipya katika sheria ya Tanzania, kwa mwenye knowledge juu ya suala hili naomba anisaidie tafadhali
Ninachokifaham ni matumiz ya computer katika upelelez yan kukusanya ushahidi katika computer na kuupresent mahakaman. Kazi hii kwa Tanzania inafanywa na department ya police inaitwa cyber and fraud department. Ambacho napenda kuelimishwa ni juu ya vitu vifuatavyo kwanza namna ya ukusanyaji wa ushahidi huu, right to secrecy kwa watumiaj wa computer ka zinakuwa protected, ushahidi huu unatunzwa vp kuensure cleanliness yake, pia educational requirements for one to work as an expert in this field
Ni kweli hiki ni kitu kipya katika sheria ya Tanzania? Kwa mwenye knowledge juu ya suala hili naomba anisaidie tafadhali.
Am duin research on this aspect if ua owk share with me ua knowledgeMimi nilianzia hapa kusoma hii Kitu kwa gharama nafuu ya wastan wa kama usd 100 hivi
COMPUTER FORENSIC COURSE
Lakini lazima uwe unajua Networking, DataBases, Ukijua Haking na Programming pia vinasaidia Sana. Japokuwa Kwenye Forensic unatakiwa uwe na basic ya sheria kwani kazi yako inaishia mahakamani kupresent ushahidi.
Unachotaka kujuwa ni kipi haswa, sijakuelewa. Kama inafundishwa Tanzania taaluma hiyo au ipo inatumika?
Tanzania Police wameanzisha kitengo cha computer forensics ingawa sina uhakika wa jina lake. Na walipeleka vijana kusoma nje, kuna makundi yalipelekwa USA kusomeshwa.
Pia kama umebobea katika hiyo fani unaweza kuwasiliana na:
ACP Martini Otieno, Mkuu wa kitengo cha Teknohama, +255767 27 97 47, martin.otieno@tpf.go.tz
Ni vipi unaweza kushirikiana nao.
Ka unaweza naomba unitumie kwenye email yangu, jackline.kayombo.jk@gmail.com[/QUOTE
ok all the best, i'll work on it
Ni kweli hiki ni kitu kipya katika sheria ya Tanzania? Kwa mwenye knowledge juu ya suala hili naomba anisaidie tafadhali.
Ni kweli hiki ni kitu kipya katika sheria ya Tanzania? Kwa mwenye knowledge juu ya suala hili naomba anisaidie tafadhali.
Ka unaweza naomba unitumie kwenye email yangu, jackline.kayombo.jk@gmail.com[/QUOTE
ok all the best, i'll work on it
Thanks
Hiyo ni picha yako??
Yes it mine, can you help me with my thread tittle
dah majibu ya maswali yako ninayo ila si vizuri kuyadisclose
Hiyo ni picha yako??
hii ina maanisha kuweka wazi ufanyaji kazi ya kukusanya taarifa za uhalifu na upelelezi hivyo lazima ibaki kuwa siri kwa maadili ya kazi
call me 0713800880, i will help u