jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Leo katika pita pita zangu nimekiokota hii kifaa kinatumika kwenye nini na kinaitwaje .... maana nimejikuta nawaza pesa tu ukizingatia na hii hali ya mvua mvua biashara ngumu ....
Natanguliza shukurani
Natanguliza shukurani