Pre GE2025 Mwenye kufahamu Sera na namna ya kujiunga na chama cha ACT Wazalendo

Pre GE2025 Mwenye kufahamu Sera na namna ya kujiunga na chama cha ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wandugu Habarini...

Kama mada tajwa hapo juu, naomba kufahamu sera za ACT Wazalendo na namna ya kujiunga na chama hicho.

Nimewiwa kufanya hivyo kutokana na ndoto yangu usiku wa kuamkia leo.

Asanteni na Karibuni!!
 
Wandugu Habarini...

Kama mada tajwa hapo juu, naomba kufahamu sera za ACT Wazalendo na namna ya kujiunga na chama hicho.

Nimewiwa kufanya hivyo kutokana na ndoto yangu usiku wa kuamkia leo.

Asanteni na Karibuni!!
Sifa kuu ni.
Swala tano.
Uwe na nundu nyeusi kwenye paji la uso.
Ukitokea Zanzibar hasa Pembe ni sifa kuu.
Vaa makobasi.
Kama ni Mwanaume fuga ndevu
Kucheza bao.
Kula kashata.
Kunywa ghahawa.
 
Sifa kuu ni.
Swala tano.
Uwe na nundu nyeusi kwenye paji la uso.
Ukitokea Zanzibar hasa Pembe ni sifa kuu.
Vaa makobasi.
Kama ni Mwanaume fuga ndevu
Kucheza bao.
Kula kashata.
Kunywa ghahawa.
Zote hizo sina... Labda Chauma sasa
 
Back
Top Bottom