Mwenye kufahamu undani wa biashara ya spea za gari tafadhali toa mchango wako hapa

Mwenye kufahamu undani wa biashara ya spea za gari tafadhali toa mchango wako hapa

Changamoto2015

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
773
Reaction score
314
Wadau wote ni matumaini yangu kuwa mpo wazima wa afya. Nawaomba nyote wenye kujua undani wa biashara ya kuuza spea za magari mtufahamishe. Hii ni kwa spea mpya pamoja na zile used.
Na je kwa wale wanaosafiri kwenda kufuata magari ambayo yamepata ajali kwa nchi kama japani, ningependa kujua biashara huwa inafanyiakaje hasa kwenye uingizaji wa hayo magari ambayo ni written off nje ya nchi, je ushuru unapangwaje na TRA?

Asanteni sana.
 
Thread bado ipo active jamani, wekeni michango yenu hapa tufaidike wote
 
Back
Top Bottom