Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
sawa mkuu.Kwangu mimi mpaka mzigo kufika Daa kwa container ya futi 40 ni 5000€ na humo nafikiria kujaza baiskeli isiyopungua 500
Kila la heri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu.Kwangu mimi mpaka mzigo kufika Daa kwa container ya futi 40 ni 5000€ na humo nafikiria kujaza baiskeli isiyopungua 500
Fanya tafiti kwanza kwa kuzingatia garama zako za manunuzi/kuokota, garama za kusafirisha, kodi mbalimbali halafu upige hesabu kuwa kwa wastani mnunuzi atanunua kwa bei gani ukiwa na wewe umekwishafix faida yako huku ukizingatia kuwa makorokocho kama hayo wapemba wanakwenda kuyazoa kwa mafungu huko dubai na yamejaa bongo. Kitu kitakachovutia wateja kwako ni bei ( watanzania tunapenda kitonga/ kikatiti kwa sadala) ubora wa kitu kiwe kina utofauti na zilizopo mitaani. Hivyo ili kuvutia watu suala la kukadiria bei huwezi kuliepukaUkweli ni kwamba sijaamua bei hivyo ni mazungumzo. Vigezo vya kuzingatia katika majadiliano ni gharama za usafirishaji mpaka bandarini Dar. Endapo nitagharamia hiyo basi bei itapanda lakini kama no juu ya mteja basi bei inaweza kuwa chee
Fanya tafiti kwanza kwa kuzingatia garama zako za manunuzi/kuokota, garama za kusafirisha, kodi mbalimbali halafu upige hesabu kuwa kwa wastani mnunuzi atanunua kwa bei gani ukiwa na wewe umekwishafix faida yako huku ukizingatia kuwa makorokocho kama hayo wapemba wanakwenda kuyazoa kwa mafungu huko dubai na yamejaa bongo. Kitu kitakachovutia wateja kwako ni bei ( watanzania tunapenda kitonga/ kikatiti kwa sadala) ubora wa kitu kiwe kina utofauti na zilizopo mitaani. Hivyo ili kuvutia watu suala la kukadiria bei huwezi kuliepuka
Vp mkuu naweza kupata baiskeli zinazotumia umeme yan namaanisha zitumia betr
PoaBaiskeli za umeme zipo ila kusema kweli ni za bei mbaya. Labda tukikubaliana ukanitumia hela nikakuchukulia ila mimi kuwekeza hela zangu mhh. Moja inaweza kutoka kwa 5m
Habari wanajukwaa,
Nina fursa ya kusambaza baiskeli kutoka Finland kwa nchi za Afrika Mashariki.
Mnunuzi wa jumla anakaribishwa kwa maongezi ya biashara. View attachment 1927613
View attachment 1927614
Naomba nicheck 0626612194Kwangu mimi mpaka mzigo kufika Daa kwa container ya futi 40 ni 5000€ na humo nafikiria kujaza baiskeli isiyopungua 500