DR. RICHARD
Senior Member
- Jun 24, 2012
- 123
- 25
Ndugu wadau wa jukwaa hili, naomba kujua mtu yeyote mwenye kuifahamu hii taasisi kwa maana ya maslahi yao na mambo mengine kwani hivi karibuni walitangaza nafasi za kazi mimi niliomba na wamenitumia written interview questions, naona bora niwajue vizuri kwanza.
Nawasilisha:
Nawasilisha: