Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

Joined
Nov 22, 2020
Posts
23
Reaction score
11
2007_Honda_Crossroad.jpg

Picha: Honda Crossroad

Habari wakuu umu ndani kuna watu wa maana sana na nawa amini sana mwaka juzi mlinishauri kuhusu Rumiona nikaenda kununua na sijajutia, yaani nimefurahia sana.

Sasa nataka kununua Honda Crossroad naomba mwenye uzoefu na hii gari please anisaidie mawazo namba yangu 0712432619.

Naomba anipe uzoefu wake kwa hii ndinga, asanteni sana.
 
Sio mtaalamu wa gari lakini nimeangalia nineona haina cc kubwa sana na ni nzuri ndani ina seat 7, na muonekano ni mzuri
 
Habari wakuu umu ndani kuna watu wa maana sana na nawa amini sana mwaka juzi mlinishauri kuhusu Rumiona nikaenda kununua na sijajutia, yaani nimefurahia sana...
Kwa uzoefu wangu kama muuza spare za magari ni gari nzuri ila spare zipo expensive kidg sio hyo tuh Honda spares zipo juu muhimu ni service na epukana na oil za kichina oil fake ni mbaya sana Kabsa itapelekea kuua engine

Ila all in all ipo vzur ina muonekano wa kipekee Body ipo vzur

Spare zipo ninazo dukani changamoto kubwa mpaka sasa suspension Za nyuma ni kipengele kuzipata mpya tunahangaika nazo
 
Gari gani hiyo imekaa km umbo la keki vile haivutii umeipendea nn mkuu ila anyway Honda huwa haabatishi haswa kwenye engine ni roho ya paka nunua kitu roho inapenda
 
Nataka kununua gari hiyo hapo juu (Honda Crossroad) wenye uzoefu nayo au wanaoifahamu vizuri mnaiongeleaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Honda wana gari ngumu sana na ni reliable!Nnayo Honda crossroad ni mwezi wa 6 sasa tangu niiagizie kutoka Japan.Sijaona tatizo lolote mpaka sasa hasa kwenye engine.

Nimefanya tu service ya kawaida labda na kubadili zile bush chini sababu ya barabara zetu za kibongo.Ulaji wa mafuta ni mzuri tu na gharama za kufanya service ni za kawaida. Gari ina speed na ipo stable plus comfortability ipo poa tu.

Ukiwa highway utaenjoy zaidi.Unaanza kuiona gari nyepesi ikifika 140 tofauti na gari kama harrier ukifika 100 tu unahisi inapepesuka labda upakie abiria wa kutosha.

Changamoto kubwa ni bei ya spare parts zake zinalingana na subaru au nissan sababu ni genuine. Gharama zipo juu ila uzuri ukifunga spare part ni mkataba unakaa nayo mda mrefu sio kama za toyota feki zipo

 
Honda wana gari ngumu sana na ni reliable!Nnayo Honda crossroad ni mwezi wa 6 sasa tangu niiagizie kutoka Japan.Sijaona tatizo lolote mpaka sasa hasa kwenye engine.

Nimefanya tu service ya kawaida labda na kubadili zile bush chini sababu ya barabara zetu za kibongo.Ulaji wa mafuta ni mzuri tu na gharama za kufanya service ni za kawaida. Gari ina speed na ipo stable plus comfortability ipo poa tu.

Ukiwa highway utaenjoy zaidi.Unaanza kuiona gari nyepesi ikifika 140 tofauti na gari kama harrier ukifika 100 tu unahisi inapepesuka labda upakie abiria wa kutosha.

Changamoto kubwa ni bei ya spare parts zake zinalingana na subaru au nissan sababu ni genuine. Gharama zipo juu ila uzuri ukifunga spare part ni mkataba unakaa nayo mda mrefu sio kama za toyota feki zipo

Mkuu hii gari inakwenda kilometa ngapi kwa lita? Je hakuna mwingiliano wa spea na gari nyingine? Asante.
 
Mkuu hii gari inakwenda kilometa ngapi kwa lita? Je hakuna mwingiliano wa spea na gari nyingine? Asante.
Gari inategemeana na cc. Honda crossroad kuna ya cc 1800 na 2000 cc.Ulaji wa mafuta hautofautiani sana.Yangu ya cc 1800 mjini inanipa 11-13km/l.Ulaji wa kawaida sana mkuu.Kuhusu kuingiliana na spare sina uhakika zaidi.Tangu niwe nayo nimebadili tu oil filter tu ambayo unaweza weka ya kampuni yoyote.ila kiufupi honda crossroad haina mambo mengi,haina gharama, service yake ya kawaida. Gari ni ngumu na ina muonekano mkali kwakwel😀.Nikipita sehemu lazima watu wageuke. Tatizo ni spare parts tu bei zipo juu,hii inachangiwa na wauza spare tamaa na hasa wakijua gari sio maarufu sana kama zilivyo za toyota.
 
Gari inategemeana na cc. Honda crossroad kuna ya cc 1800 na 2000 cc.Ulaji wa mafuta hautofautiani sana.Yangu ya cc 1800 mjini inanipa 11-13km/l.Ulaji wa kawaida sana mkuu.Kuhusu kuingiliana na spare sina uhakika zaidi.Tangu niwe nayo nimebadili tu oil filter tu ambayo unaweza weka ya kampuni yoyote.ila kiufupi honda crossroad haina mambo mengi,haina gharama, service yake ya kawaida. Gari ni ngumu na ina muonekano mkali kwakwel[emoji3].Nikipita sehemu lazima watu wageuke. Tatizo ni spare parts tu bei zipo juu,hii inachangiwa na wauza spare tamaa na hasa wakijua gari sio maarufu sana kama zilivyo za toyota.
Asante mkuu kwa maelezo. Ni gari nzuri kwa kweli.
 
Gari inategemeana na cc. Honda crossroad kuna ya cc 1800 na 2000 cc.Ulaji wa mafuta hautofautiani sana.Yangu ya cc 1800 mjini inanipa 11-13km/l.Ulaji wa kawaida sana mkuu.Kuhusu kuingiliana na spare sina uhakika zaidi.Tangu niwe nayo nimebadili tu oil filter tu ambayo unaweza weka ya kampuni yoyote.ila kiufupi honda crossroad haina mambo mengi,haina gharama, service yake ya kawaida. Gari ni ngumu na ina muonekano mkali kwakwel[emoji3].Nikipita sehemu lazima watu wageuke. Tatizo ni spare parts tu bei zipo juu,hii inachangiwa na wauza spare tamaa na hasa wakijua gari sio maarufu sana kama zilivyo za toyota.
Maelezo mazuri yanayotia hamasa kabisa.
 
Gari inategemeana na cc. Honda crossroad kuna ya cc 1800 na 2000 cc.Ulaji wa mafuta hautofautiani sana.Yangu ya cc 1800 mjini inanipa 11-13km/l.Ulaji wa kawaida sana mkuu.Kuhusu kuingiliana na spare sina uhakika zaidi.Tangu niwe nayo nimebadili tu oil filter tu ambayo unaweza weka ya kampuni yoyote.ila kiufupi honda crossroad haina mambo mengi,haina gharama, service yake ya kawaida. Gari ni ngumu na ina muonekano mkali kwakwel😀.Nikipita sehemu lazima watu wageuke. Tatizo ni spare parts tu bei zipo juu,hii inachangiwa na wauza spare tamaa na hasa wakijua gari sio maarufu sana kama zilivyo za toyota.
Vipi mkuu crossroad inaendeleaje? Nataka nivute hiyo mashine
 
Hii gari naielewa sana, nlidrive round trip toka musoma hadi moro, nlikuwa nagusa 160 nikiwa na abiria7 vizuri tu
 
Back
Top Bottom