Mwenye kuifahamu Nguvu Moja Security

Mwenye kuifahamu Nguvu Moja Security

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,400
Reaction score
14,339
Ndugu zangu,

Rejea kwenye post yangu NATAFUTA KAZI MAJI YAMENIFIKA SHINGONI.

nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi GARDAWORLD nalipwa 240,000/= kwa mwezi hapo makato yote yamesha katwa. Japo nina diploma ya uandishi wa habari, nimetafuta kazi inayoendana na elimu yangu takribani miaka mitatu bila mafanikio.

Juzi nimeona tangazo la nafasi za kazi tena za ulinzi kwenye hii kampuni yenye jina NGUVU MOJA SECURITY. Kwa anayeifahamu hii kampuni naomba anisaidie sifa zake kwani nafikiria kwenda kupeleka barua zangu za maombi ya nafasi za kazi walizotangaza za ulinzi wa migodi. Sasa naogopa nisije nikaruka mkojo nikaangukia kwenye kinyesi kigumu.

Nahitaji kujua
1. Je, wanajali wafanyakazi wao?
2. Je, wanalipa kiasi gani?
3. Wanazingatia elimu kwenye malipo yao ya mishahara?
4. Kuna marupurupu yoyote mengineyo wanayoyatoa haswa kwa walinzi wa migodini?
 
Ndugu...zangu
rejea kwenye post yangu NATAFUTA KAZI MAJI YAMENIFIKA SHINGONI
nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi GARDAWORLD nalipwa 240,000/= kwa mwezi hapo makato yote yamesha katwa...
japo nina diploma ya uandishi wa habari, nimetafuta kazi inayoendana na elimu yangu takribani miaka mitatu bila mafanikio.

juzi nimeona tangazo la nafasi za kazi tena za ulinzi kwenye hii kampuni yenye jina NGUVU MOJA SECURITY...kwa anae ifahamu hii kampuni naomba anisaidie sifa zake kwani nafikiria kwenda kupeleka barua zangu kwao...za maombi ya nafasi za kazi walizo tangaza za ulinzi migodi...sasa naogopa nisije nikaruka mkojo nikaangukia kwenye kinyesi kigumu.
nahitaji kujua
1. je wanajari wafanyakazi wao...?
2. je wanalipa kiasi gani...?
3. wanazingatia elimu kwenye malipo yao ya mishahala...?
4. kuna malupu lupu yoyote mengineyo wanayo yatoa haswa kwa walinzi wa migodini...?
Samahani mkuu.. Kwenye hilo tangazo lao hawajaweka mawasiliano?
Wamesema ofisini zao zipo wapi? Mshahara unaweza ukaendana maana makampuni mengi ya ulinzi huwa hayapishani ila kwa pande wa migodini huwa wanatoa chajuu tena chakuridhisha haswa
 
Samahani mkuu.. Kwenye hilo tangazo lao hawajaweka mawasiliano?
Wamesema ofisini zao zipo wapi? Mshahara unaweza ukaendana maana makampuni mengi ya ulinzi huwa hayapishani ila kwa pande wa migodini huwa wanatoa chajuu tena chakuridhisha haswa
Security Jobs at Nguvu Moja (SS)
Nguvu Moja (SS) a local content (native) Tanzania security Company which operates in three notable Medium Gold Mines located in lake Victoria Green Belt Zone; seek to employ energetic youths who have undergone military training in National Service (Operation Magufuli and Operation Kikwete), Special forces retirees, Para military Soldiers and other people from other national security organs of the age of NOT ABOVE 45 years old.

JOB DESCRIPTION
To provide proficient security solutions in the extractive industry

QUALIFICATIONS
Applicants should be healthy Tanzanian youths, trustworth, diligent, audacious with good conduct and no criminal record. Education Require – Completion of Tanzania Primary school to College Level.

SKILLS/KNOWLEDGE REQUIREMENT (added advantage)
  • Computer literacy
  • Community outreach
  • Relevant tertiary qualification in security/risk management
  • Driving licence, Financial accounts, GD Clerk, materials management, mechanical technician and others
REMUNERATION
  • Basic Salary according to Tanzania Government financial regulations as per labour law
MODE OF APPLICATION
Cover letter be addressed to Human Resources Manager including, Datailed CV, Copies of relevant certificates, email and telephone contacts, names and three referees, to be forwarded to below address. Bring original certificate if contacted for interview.

CONTACT ADDRESS
Humans Resources manager
Nguvu Moja Security Services Ltd
P.O Box 105028,
DAR ES SALAAM.

Email: mojanguvu@gmail.com

APPLICATION DEADLINE


Application letters should reach Us before 05 July 2020 at 17 hrs 30
Only shortlisted candidates will be contacted for Interview

NB: Beware of conmen NMSS does not receive money in exchange for a job. – Corruption is strictly forbiden. Any corrupt act must immediately be reported directly to TAKUKURU mob No (026) 2322003/2322695 or to mob No given herein. 0754881168 or 0721760716.
 
Security Jobs at Nguvu Moja (SS)
Nguvu Moja (SS) a local content (native) Tanzania security Company which operates in three notable Medium Gold Mines located in lake Victoria Green Belt Zone; seek to employ energetic youths who have undergone military training in National Service (Operation Magufuli and Operation Kikwete), Special forces retirees, Para military Soldiers and other people from other national security organs of the age of NOT ABOVE 45 years old.

JOB DESCRIPTION
To provide proficient security solutions in the extractive industry

QUALIFICATIONS
Applicants should be healthy Tanzanian youths, trustworth, diligent, audacious with good conduct and no criminal record. Education Require – Completion of Tanzania Primary school to College Level.

SKILLS/KNOWLEDGE REQUIREMENT (added advantage)
  • Computer literacy
  • Community outreach
  • Relevant tertiary qualification in security/risk management
  • Driving licence, Financial accounts, GD Clerk, materials management, mechanical technician and others
REMUNERATION
  • Basic Salary according to Tanzania Government financial regulations as per labour law
MODE OF APPLICATION
Cover letter be addressed to Human Resources Manager including, Datailed CV, Copies of relevant certificates, email and telephone contacts, names and three referees, to be forwarded to below address. Bring original certificate if contacted for interview.

CONTACT ADDRESS
Humans Resources manager
Nguvu Moja Security Services Ltd
P.O Box 105028,
DAR ES SALAAM.

Email: mojanguvu@gmail.com

APPLICATION DEADLINE


Application letters should reach Us before 05 July 2020 at 17 hrs 30
Only shortlisted candidates will be contacted for Interview

NB: Beware of conmen NMSS does not receive money in exchange for a job. – Corruption is strictly forbiden. Any corrupt act must immediately be reported directly to TAKUKURU mob No (026) 2322003/2322695 or to mob No given herein. 0754881168 or 0721760716.
sasa ulikuw unaomba msaada wa nini mkuu!!!!!
 
Security Jobs at Nguvu Moja (SS)
Nguvu Moja (SS) a local content (native) Tanzania security Company which operates in three notable Medium Gold Mines located in lake Victoria Green Belt Zone; seek to employ energetic youths who have undergone military training in National Service (Operation Magufuli and Operation Kikwete), Special forces retirees, Para military Soldiers and other people from other national security organs of the age of NOT ABOVE 45 years old.

JOB DESCRIPTION
To provide proficient security solutions in the extractive industry

QUALIFICATIONS
Applicants should be healthy Tanzanian youths, trustworth, diligent, audacious with good conduct and no criminal record. Education Require – Completion of Tanzania Primary school to College Level.

SKILLS/KNOWLEDGE REQUIREMENT (added advantage)
  • Computer literacy
  • Community outreach
  • Relevant tertiary qualification in security/risk management
  • Driving licence, Financial accounts, GD Clerk, materials management, mechanical technician and others
REMUNERATION
  • Basic Salary according to Tanzania Government financial regulations as per labour law
MODE OF APPLICATION
Cover letter be addressed to Human Resources Manager including, Datailed CV, Copies of relevant certificates, email and telephone contacts, names and three referees, to be forwarded to below address. Bring original certificate if contacted for interview.

CONTACT ADDRESS
Humans Resources manager
Nguvu Moja Security Services Ltd
P.O Box 105028,
DAR ES SALAAM.

Email: mojanguvu@gmail.com

APPLICATION DEADLINE


Application letters should reach Us before 05 July 2020 at 17 hrs 30
Only shortlisted candidates will be contacted for Interview

NB: Beware of conmen NMSS does not receive money in exchange for a job. – Corruption is strictly forbiden. Any corrupt act must immediately be reported directly to TAKUKURU mob No (026) 2322003/2322695 or to mob No given herein. 0754881168 or 0721760716.
OK nimeliona mkuu
 
Unataka ulinzi unaenda ulinzi vipi ww? Mimi mwenyewe nimepiga garda baada ya kupiga mpunga mrefu nikasepa south , nakura maisha
 
Kama unajua kutaguta maisha nenda, usiwe mnoko au mkuda kwa wafanyakazi migodini hasa North Mara utatajirika. Ila hawajali wafanyakazi wao kabisa. Hata miezi minne unafanya bila kupumzika
 
Kama unajua kutaguta maisha nenda, usiwe mnoko au mkuda kwa wafanyakazi migodini hasa North Mara utatajirika. Ila hawajali wafanyakazi wao kabisa. Hata miezi minne unafanya bila kupumzika
oya angalia convo kuna ujumbe wako
 
Back
Top Bottom