Wanamuulizia kwa lipi funguka vizuri watu wajue hata tukionana nae tujue tunamwambia anauliziwa kwa lipi mkuu...?
Mbona mnatughulisha jamani..Mara tumtafute Ben Mara Mr nice...heb Ngoja tuanze na Ben kwanza then tutarudi kwa nice.Nipo huku Kenya kuna watu wanamuulizia, Mara baada ya kusikia Mimi nimetokea tz,kiukweli cjui chochote kuhusu huyu jamaa
Wanataka hela zao.
Du Watz mna maneno ndio maana mitandao inataka kufungwa.Hama kweli wakati ni ukuta.....Mr 9c kutoka kutembea na mabaunsa 10 na msululu wa magari kila sehemu,Leo hii anaishi kama digidigi.