Mwenye kujua alipo Mr Nice

Mara ya mwisho nilimuona Geita,alikuwa kapigika kweli!Akanunuliwa bia 4 akapanda kuimba nyimbo zake 2
 
Hama kweli wakati ni ukuta.....Mr 9c kutoka kutembea na mabaunsa 10 na msululu wa magari kila sehemu,Leo hii anaishi kama digidigi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…