MWENYE KUJUA APARTMENT / AIRBNB YA BEI RAHISI DAR ES SALAAM

MWENYE KUJUA APARTMENT / AIRBNB YA BEI RAHISI DAR ES SALAAM

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Habari ndugu zangu, kama kicha cha habari kinavyo sema hapo juu, nina ugeni wa mtu wangu ambaye atakaa kama siku 14 (week mbili), sasa nilitaka kupata aprtiment nzuri yenye kila kitu ndani WIFI ISIKOSEKANE (kuanzia maeneo ya kiluvya, kibamba, mbezi, goba, kimara, tabata, ubungo , sinza, mlimani, mwenge) SIITAJI kwa maeneo yote ya wilaya ya KIGAMBONI NA TEMEKE, pia BUNJU-BOKO-TEGETA NO. naomba kwa mwenye kujua aprtment nzuri maeneo hayo na bei rafiki sana aniambie, karibu sana.
 
Habari ndugu zangu, kama kicha cha habari kinavyo sema hapo juu, nina ugeni wa mtu wangu ambaye atakaa kama siku 14 (week mbili), sasa nilitaka kupata aprtiment nzuri yenye kila kitu ndani WIFI ISIKOSEKANE (kuanzia maeneo ya kiluvya, kibamba, mbezi, goba, kimara, tabata, ubungo , sinza, mlimani, mwenge) SIITAJI kwa maeneo yote ya wilaya ya KIGAMBONI NA TEMEKE, pia BUNJU-BOKO-TEGETA NO. naomba kwa mwenye kujua aprtment nzuri maeneo hayo na bei rafiki sana aniambie, karibu sana.
Ingia online.
 
Wacheki hawa hafu utaniletea feedback.
Screenshot_20240822-133527.png
 
Back
Top Bottom