Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Enyi matabibu wa JF.
nisaidieni wajameni. natafuta dawa ya mende wananisumbua sana. dawa za kihindi za kupuliza nimejaribu aina aina lakini nimenawa, maana nikiwapuliza wanalala tu badala ya kufa.
Dawa za kupuliza wamezigeuza viroba wanazitamani kweli ili walewe.
Mnaweza kuchukulia utani, ila niko siriaz.
Naomba msaada wenu wa kitabibu.
nisaidieni wajameni. natafuta dawa ya mende wananisumbua sana. dawa za kihindi za kupuliza nimejaribu aina aina lakini nimenawa, maana nikiwapuliza wanalala tu badala ya kufa.
Dawa za kupuliza wamezigeuza viroba wanazitamani kweli ili walewe.
Mnaweza kuchukulia utani, ila niko siriaz.
Naomba msaada wenu wa kitabibu.

