kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Habarini za asubuhi ndugu zangu
Kuna kampuni inajiita enternal international wanajishughulisha na kupima mwili mzima kwa sh elfu 10 kisha wanakuuzia dawa
Hii kampuni ni network marketing ila wao wana deal na wagonjwa tu
Mwenye kuijua anahabarishie nisije ingia kwenye mikono ya mataperi
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kampuni inajiita enternal international wanajishughulisha na kupima mwili mzima kwa sh elfu 10 kisha wanakuuzia dawa
Hii kampuni ni network marketing ila wao wana deal na wagonjwa tu
Mwenye kuijua anahabarishie nisije ingia kwenye mikono ya mataperi
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app