kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Habari za uzima, Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari na aya ndio matokeo yake ya O-LEVEL (NI BINTI)
O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B
Basic Mathematics....C
Amesoma Diploma ya Clinical Medicine amepata GPA ya 4.1/5.0
Na vyuo nilivyomfanyia application mpaka sasa ni vyuo 5, (UDOM (MD), UDSM(MD), MUHAS (MD), KCMC (MD), NA ST FRSNCIS CHA MOROGORO (MD) ),
Matokeo yameshatoka ya vyuo vyote nilivyomuombea hapo juu, na mpaka sasa hajapata chuo chochote kile, tangu jana amekaa ndani analia tu, nimejaribu kumuuliza je kuna course nyingine yeyote ya mambo yanayohusina na afya anapenda tuombe yeye anasema yeye alifikili atapata MD, hizo zingine hazifahamu vizuri, sasa naombeni msaada wenu wakuu ni course gani nzuri ambayo ipo kwenye soko la ajira kwa miaka 3 au 4 mbele atakapomaliza masomo yake.
Nawakaribisha kwa ushauri ndugu zangu tumsaidie mdogo wetu.
karibuni.
O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B
Basic Mathematics....C
Amesoma Diploma ya Clinical Medicine amepata GPA ya 4.1/5.0
Na vyuo nilivyomfanyia application mpaka sasa ni vyuo 5, (UDOM (MD), UDSM(MD), MUHAS (MD), KCMC (MD), NA ST FRSNCIS CHA MOROGORO (MD) ),
Matokeo yameshatoka ya vyuo vyote nilivyomuombea hapo juu, na mpaka sasa hajapata chuo chochote kile, tangu jana amekaa ndani analia tu, nimejaribu kumuuliza je kuna course nyingine yeyote ya mambo yanayohusina na afya anapenda tuombe yeye anasema yeye alifikili atapata MD, hizo zingine hazifahamu vizuri, sasa naombeni msaada wenu wakuu ni course gani nzuri ambayo ipo kwenye soko la ajira kwa miaka 3 au 4 mbele atakapomaliza masomo yake.
Nawakaribisha kwa ushauri ndugu zangu tumsaidie mdogo wetu.
karibuni.