Mwenye kujua sababu za goli la Singida FG kukataliwa atueleze

Match ya 5 kwenye ligi gape la points 3 ni nothing,kikubwa tunaweka mambo sawa kila mtu ajiridhishe kinachofanyika ili na sisi tuache mpira tufanye kama haya wanayofanya wenzetu halafu mwisho wa siku tuone nani atalia
team Yako haiwezi kushindana na simba kwa pesa ya kukopa kuendesha budget ya club , hayo mashindano yaanze tuone nani mshindi.
 
Reactions: Tui
Ukiona gongowazi wanaanza kuwa watabiri,wanasheria,viongozi wa TFF ,wachambuzi na marefa jua hali sio nzuri.Ili kujipa moyo ni lazima watafute kisingizio.
Ihefu usifanye tena huo mchezo malalamiko yamezidi sana.
 
Wengine tulishajiaandaa kisaikorojia hiki kinachoendelea kutengenezea simba mazingira ya ubingwa.

Fuatilia mechi za simba kuanzia Ngao ya jamii. Ni aibu.
Uzuri tunapokezana hizi lawama. Uto bhana walijua kabisa hawawezi kufungwa.

Inakuaje hujui sababu halafu unalaumu!

Au tatizo la afya ya akili linakusumbua.

Kamuulize refa.
 
Reactions: Tui
Uzuri tunapokezana hizi lawama. Uto bhana walijua kabisa hawawezi kufungwa.

Inakuaje hujui sababu halafu unalaumu!

Au tatizo la afya ya akili linakusumbua.

Kamuulize refa.
Mada hamuijadili. Ni nongwa tu. Daaaah
 
Nimerudia zaidi ya mara 20 kutazama hili tukio, lakini sijaona sababu za kukataliwa kwa goli la Singida FG.

Kwakuwa humu JF kuna wabobezi wa sheria ya offside, ni vema tupeane elimu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Natanguliza shukrani
Mechi na mtibwa singida walibebwa ..
 
Nini cha ajabu? Wewe unafikiri ni kwanini VAR ziliwekwa?
 
Nini cha ajabu? Wewe unafikiri ni kwanini VAR ziliwekwa?
Komenti Bora sana. Marefa kufanya makosa bila ya kujijua kama wamefanya kosa ndiyo chanzo cha kuwepo kwa VAR.

Mtu anaangalia tukio mara 20 Kwa kurudiarudia halafu anatakaje afanane na Refa aliyeona tukio chini ya sekunde kadhaa.
 
Komenti Bora sana. Marefa kufanya makosa bila ya kujijua kama wamefanya kosa ndiyo chanzo cha kuwepo kwa VAR.

Mtu anaangalia tukio mara 20 Kwa kurudiarudia halafu anatakaje afanane na Refa aliyeona tukio chini ya sekunde kadhaa.
Kwenye hii mada kuna lawama yoyote kwa waamuzi? Mada inataka ufafanuzi wa tukio
 
Tuelewe mada kabla ya kuchangia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…