Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
team Yako haiwezi kushindana na simba kwa pesa ya kukopa kuendesha budget ya club , hayo mashindano yaanze tuone nani mshindi.Match ya 5 kwenye ligi gape la points 3 ni nothing,kikubwa tunaweka mambo sawa kila mtu ajiridhishe kinachofanyika ili na sisi tuache mpira tufanye kama haya wanayofanya wenzetu halafu mwisho wa siku tuone nani atalia