King Mswat 11
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 207
- 319
Na mwenye kujua ile faulo aliechezewa kibu na beki wa mwisho je haikuwa red card mwenye kujua atuambie tafaddhali.Nimerudia zaidi ya mara 20 kutazama hili tukio, lakini sijaona sababu za kukataliwa kwa goli la Singida FG.
Kwakuwa humu JF kuna wabobezi wa sheria ya offside, ni vema tupeane elimu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Natanguliza shukrani