Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kaka bas tunamuomba waziri wa viwanda na biashara watoe wazi bei elekezi mapema ili tupate bei nzuriSoko la ndani Abasi Exports na Mohamed Enterprises watanunua mara moja lakini kwa bei watakayojipangia wao.
Soko la nje lipo mashariki ya kati na ulaya mashariki,google price index utapata bei elekezi kwa tani,au nenda wizara ya viwanda na biasha ,export promotion watakupa bei elekezi,
Zipo mtandaoni mkuu pekuaSawa kaka bas tunamuomba waziri wa viwanda na biashara watoe wazi bei elekezi mapema ili tupate bei nzuri
Umelaaniwa unataka kukweepa kodi mpaka lin?Ngoja nianze ufugaji wa kitimoto
Ulipotumia avatar ya safari_ni safari nilikidharau sana mpaka keshoUmelaaniwa unataka kukweepa kodi mpaka lin?
Aaah uliponizarau umenenepa sioUlipotumia avatar ya safari_ni safari nilikidharau sana mpaka kesho
Sana harafu nakuona kama Kenge jikeAaah uliponizarau umenenepa sio
we unalimia wapi mwenzetu unakaribia kuvuna,mimi ndio najiandaa kufukia mbegu kimanzichanaTafadhali nataka kujua soko na bei ya kilo mwaka huu tafadhali maana huku mambo yanaanza kuiva tayari
tano 5 zinapatikana? kuna mtu anahitaji!
MKUU, ULIFANIKIWA?Ngoja nianze ufugaji wa kitimoto