UmepatiaBelow 45
Nimechungulia kilingeniUmepatia
Wema ni miss Tz mwaka 2006, kwahiyo alikuwa na miaka 16Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
So alipata u miss Tanzania akiwa na miaka mingapi?Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Alidanganya umri ili ashiriki Miss TanzWema ni miss Tz mwaka 2006, kwahiyo alikuwa na miaka 16
Alidanganya umriWema ni miss Tz mwaka 2006, kwahiyo alikuwa na miaka 16
Alidanganya umriSo alipata u miss Tanzania akiwa na miaka mingapi?
Hakuna kitu kama hiki.
Kwann unataka tuamini alidanganya umri kipindi kile na hadanganyi sasa hivi?Alidanganya umri