chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani cha wasichana, dada, mama, watuwazima au wakongwe.
Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana. Leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.
Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapana.
Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana. Leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.
Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapana.