Mwenye kumbukumbu ya Yanga angalau kumaliza hatua ya makundi akiwa japo wa pili tu kwenye kundi anikumbushe

Mwenye kumbukumbu ya Yanga angalau kumaliza hatua ya makundi akiwa japo wa pili tu kwenye kundi anikumbushe

mpiga vichwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
2,376
Reaction score
3,811
Kama sikosei mfumo wa uendeshaji wa ligi ya mabingwa barani Afrika na ule wa kombe la shirikisho katika mtindo wa makundi ulianza mwaka 1998 Tanzania ikiwakilishwa na Yanga.

Ninachokikumbuka Yanga alikuwa wa mwisho katika kundi lake la timu nne akiambulia point 2 katika michezo 6.

Je, baada ya hapo Yanga alishawahi kuyashiriki hayo mashindano?

Na kama aliwahi kuyashiriki , aliwahi angalau kumaliza hatua hiyo ya makundi akiongoza kundi au hata kuwa katika nafasi ya pili tu?
Na je , ilikuwa mwaka gani?
 
Ili ufurahi zaidi Iko hv, Yanga hajawahi kucheza kabisa makundi ya michuano yoyote Ile na ni Bora hvyo kuliko kiliaibisha Taifa letu ambalo mama yetu anajitahidi kutumia nguvu nyingi kulitangaza..
Simba ndo Timu pekee inayolitia fedhea Taifa hili
 
Ili ufurahi zaidi Iko hv, Yanga hajawahi kucheza kabisa makundi ya michuano yoyote Ile na ni Bora hvyo kuliko kiliaibisha Taifa letu ambalo mama yetu anajitahidi kutumia nguvu nyingi kulitangaza..
Simba ndo Timu pekee inayolitia fedhea Taifa hili
Bangi ni mbaya . Ulipokojolewa ndani na nje na Rivers hukuliaibisha taifa?
 
Kama sikosei mfumo wa uendeshaji wa ligi ya mabingwa barani Afrika na ule wa kombe la shirikisho katika mtindo wa makundi ulianza mwaka 1998 Tanzania ikiwakilishwa na Yanga.

Ninachokikumbuka Yanga alikuwa wa mwisho katika kundi lake la timu nne akiambulia point 2 katika michezo 6.

Je, baada ya hapo Yanga alishawahi kuyashiriki hayo mashindano?

Na kama aliwahi kuyashiriki , aliwahi angalau kumaliza hatua hiyo ya makundi akiongoza kundi au hata kuwa katika nafasi ya pili tu?
Na je , ilikuwa mwaka gani?
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wewe kupata takwimu Utopwinyo wakiwa angalau wa pili kwenye group
 
Hatuna jibu mkuu ila mliopita kote huko mbona hatuoni maendeleo ya vitu ndani ya timu yenu?
 
Kama sikosei mfumo wa uendeshaji wa ligi ya mabingwa barani Afrika na ule wa kombe la shirikisho katika mtindo wa makundi ulianza mwaka 1998 Tanzania ikiwakilishwa na Yanga.

Ninachokikumbuka Yanga alikuwa wa mwisho katika kundi lake la timu nne akiambulia point 2 katika michezo 6.

Je, baada ya hapo Yanga alishawahi kuyashiriki hayo mashindano?

Na kama aliwahi kuyashiriki , aliwahi angalau kumaliza hatua hiyo ya makundi akiongoza kundi au hata kuwa katika nafasi ya pili tu?
Na je , ilikuwa mwaka gani?

Kama sikosei............!! Ninachokikumbuka...........!! 😁😁Mbumbumbu katika ubora wake.
 
Bangi ni mbaya . Ulipokojolewa ndani na nje na Rivers hukuliaibisha taifa?
Kumbe wewe ni Tahira eeeh, we si umezungumzia level ya makundi...!!! Sasa nani anaongoza kumwagiwa magoli mengi nchii hii zaidi ya Nyie Makolo.. zile 5,5 na hiz za Sasa sijui 3, 2 bila.. yaan zote ni nyie tu. Makolo mnajitekenya hamuwezi kufika kokote, hamna uwezo wa kushinda ugenn.. nyumbani mnaforce kushinda kimoja Cha uchawi wa paka mkienda ugenn mnatobolewa 5😃
 
Kumbe wewe ni Tahira eeeh, we si umezungumzia level ya makundi...!!! Sasa nani anaongoza kumwagiwa magoli mengi nchii hii zaidi ya Nyie Makolo.. zile 5,5 na hiz za Sasa sijui 3, 2 bila.. yaan zote ni nyie tu. Makolo mnajitekenya hamuwezi kufika kokote, hamna uwezo wa kushinda ugenn.. nyumbani mnaforce kushinda kimoja Cha uchawi wa paka mkienda ugenn mnatobolewa 5😃
Aisee hebu tumia mata..o Yako Kwa kazzi yake...Simba imeeingia robo fainali mara 2 ,na ikawabeba na nyie mara 2 ,na mkaenda mkatobolewa mbele na nyuma ...bado tu unatukana!
 
Ili ufurahi zaidi Iko hv, Yanga hajawahi kucheza kabisa makundi ya michuano yoyote Ile na ni Bora hvyo kuliko kiliaibisha Taifa letu ambalo mama yetu anajitahidi kutumia nguvu nyingi kulitangaza..
Simba ndo Timu pekee inayolitia fedheha taifa
 
Back
Top Bottom