Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Waziri wa Utalii Dk. Ndumbaro anasema Yanga ikiingia kwenye michuano ya Kimataifa Jioni, mpaka kufikia Asubuhi tayari ameshatolewa, yaani kabla wengine hawajaamka kutoka usingizini.Ili ufurahi zaidi Iko hv, Yanga hajawahi kucheza kabisa makundi ya michuano yoyote Ile na ni Bora hvyo kuliko kiliaibisha Taifa letu ambalo mama yetu anajitahidi kutumia nguvu nyingi kulitangaza..
Simba ndo Timu pekee inayolitia fedhea Taifa hili
Simba SC ndo Brand Kubwa ya Soka Nchini.