ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Habari,
Mimi nilisoma vitabu vya mwandishi will Gamba wakati nimeanza kujua kusoma has nikiwa darasa la tatu na nne.Ningependa kufahamu kama kuna mwenye taarifa za huyu mtu.Je huyu Will Gamba alikuwa muhusika mkuu kwenye vitabu au alikuwa ndio mwandishi?Wapi naweza pata vitabu vya huyu bwana?Kuna mwenye picha zake atuwekee na mwenye kujua historia yake?
Asanteni
Mimi nilisoma vitabu vya mwandishi will Gamba wakati nimeanza kujua kusoma has nikiwa darasa la tatu na nne.Ningependa kufahamu kama kuna mwenye taarifa za huyu mtu.Je huyu Will Gamba alikuwa muhusika mkuu kwenye vitabu au alikuwa ndio mwandishi?Wapi naweza pata vitabu vya huyu bwana?Kuna mwenye picha zake atuwekee na mwenye kujua historia yake?
Asanteni