Mwenye Mama amheshimu sana

tumefundishwa kuwatendea haki wazazi wetu2.
hatakama akikosea basi ongea nae kwa upole na uwe mwenye subra.
 
Ngoja nimpigie kwanza Bi Mkubwa nimjulie hali.

Mleta mada,upo sahihi sana!1
 
S

Natamani ungesema mwenye wazazi awaheshimu sana kuliko kuanza kuwatenganisha.

Kauli ya kuwatenganisha utaona chungu siku watoto wako wakianza kuwatenganisha wazazi kwa upendo. Asante

kichwa chako kina maji...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…