Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
MwanaumeWe ni Me au Ke?
Huna stress ,maana ukiwa na stress automatically unaacha ,yaani huna majukumu kabisa mzee na hutoacha mpaka utakapokuwa na majukumuSalam!
Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi?
Wanasaikologia; Msaada tafadhali.
oa mwanamke wa aina ya matamanio yako na mnayeskilizana, kuelewana na kupendana.Salam!
Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi?
Wanasaikologia; Msaada tafadhali.
Mbinu kuu ni kuacha kuangalia wanawake na pichs za uchiSalam!
Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi?
Wanasaikologia; Msaada tafadhali.
Mimi ni jinsia ya ME.
kata jojolo yakoSalam!
Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi?
Wanasaikologia; Msaada tafadhali.
Mimi ni jinsia ya ME.
Kuacha ngono (abstain) ama kuacha ngono za hovyo hovyo..?Salam!
Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi?
Wanasaikologia; Msaada tafadhali.
Mimi ni jinsia ya ME.
Ninayo Sana ...ila saa nikiwa na nafasi kidogo napenda nikae faragha na demuHuna stress ,maana ukiwa na stress automatically unaacha ,yaani huna majukumu kabisa mzee na hutoacha mpaka utakapokuwa na majukumu
Mimi sipendi NGONO kabisa hata nikilala na mke wangu najisikia vibaya baada ya tendoKuacha ngono (abstain) ama kuacha ngono za hovyo hovyo..?
Unafahamu haya ni mambo ya kibailojia pia?..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Sasa kama upendi ngono unaomba msaada wa kuacha nini masta au mm ndio sijaelewa.Mimi sipendi NGONO kabisa hata nikilala na mke wangu najisikia vibaya baada ya tendo
Nenda ukahasiweMwanaume
unazingua dogoMimi sipendi NGONO kabisa hata nikilala na mke wangu najisikia vibaya baada ya tendo
Kwanza kwa nini utaka kwenda kinyume na nature?Salam!
Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi?
Wanasaikologia; Msaada tafadhali.
Mimi ni jinsia ya ME.
Kwani unalazimishwa? Mwache mkeo akatafute mwanaume mwingine. Kuwa muwazi ubaki mwenyewe kwa raha zakoMimi sipendi NGONO kabisa hata nikilala na mke wangu najisikia vibaya baada ya tendo
Usiombe ikakukuta hii hali napitiaSasa kama upendi ngono unaomba msaada wa kuacha nini masta au mm ndio sijaelewa.
Asante ni wazo piaKwani unalazimishwa? Mwache mkeo akatafute mwanaume mwingine. Kuwa muwazi ubaki mwenyewe kwa raha zako
Serious usiombe ukapitia ninakopitiaunazingua dogo