Mwenye namba za wachambuzi wa muziki naomba msaada

Mwenye namba za wachambuzi wa muziki naomba msaada

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari wakuu,

Nilikuwa na namba za wachambuzi wa muziki Kama Rajab Zomboko, Chacha Maginga lakini bahati mbaya nimefanya reset ya Simu sizioni Tena.

Naomba mwenye namba hizo na za wachambuzi wengine naomba anitumie hapa au PM au kwenye 0776655978
 
Nenda kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii utazikuta mkuu
 
Oya mkuu hata humu tupo Mimi naweza nikuchambulie old skool za 70's, 80's, 90's

Iwe rythm, rock, havy metal, soul, RnB, artenative, disco funk, Afro beat, Africana, world no

Karibu Sana!
 
Back
Top Bottom