Elimu nyingi za ndoa ni kama miluzi mingi kwa mbwa, hizo elimu ni matokeo ya ndoa nyingi kufa.Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Aiseeeh!Kataa ndoa
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha.
Ndoa ni kuuza uhuru wako
Ndoa ni kamari
basi huu uzi haukuhusuHapana mi sitaki..
Nataka iwe vurugu tuu sio unakuta mtu ana nyenyekea weee....
Mi nataka mtu wa kukiwasha kila mda
ndoman nkakwambia wewe hujui lolote kuhusu ndoa,,,we alokwambia mwanamke kunyenyekea ndoa inakua salama nani!!?Hapana mi sitaki..
Nataka iwe vurugu tuu sio unakuta mtu ana nyenyekea weee....
Mi nataka mtu wa kukiwasha kila mda
Motivation speakers Mimi huwa siwasikiliziNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
aliyekuroga kafaNdoa yangu ni salama, occasionally hua tunazozana, but that normal part of human being.
All in all we are good and love each other insanely.
Kipimo chako cha usalama ni kipi?Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Mziki wa kule sio poa..thadayo Ungefafanua Kwanza maana ya ndoa salama na ndoa isiyo salama Ili Poor Brain anambie mziki gani ulioko kwenye ndoa.
Sawa bana...basi huu uzi haukuhusu
na usiwah rudi,,sawa totoo?Sawa bana...
Sina neno ngoja nitoke
😂😂😂 Ngoja nkae kmyaMziki wa kule sio poa..
Niliwahi kuchungulia kidogo yakanishinda ahahaha ww yaan watu hatar jamn
Jichanganye tuu😂😂😂 Ngoja nkae kmya