Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Elimu nyingi za ndoa ni kama miluzi mingi kwa mbwa, hizo elimu ni matokeo ya ndoa nyingi kufa.

Ndio maana utaona nyakati ambazo hakukuwa na mautandawazi na hawa motivation speaker wa ndoa kwa wingi, ndoa zilikuwa zinaishi Ila sasa hivi maarifa mengi ya ndoa mtu anajichagulia atakako.. mwisho wa siku chali
 
Swali limekaa kibabe sana!. Ndoa ndiyo hizo mume kaua mke, mke naye kaua mume. Zilizobakia nyingi zinapumulia mashine.

Zenye amani ni % chache sana, tena mmoja kujifanya mjinga, kujifanya haoni anayotendewa. Na mtu wa hivyo tayari ana ugonjwa wa moyo na sonona.
 
Hapana mi sitaki..
Nataka iwe vurugu tuu sio unakuta mtu ana nyenyekea weee....

Mi nataka mtu wa kukiwasha kila mda
ndoman nkakwambia wewe hujui lolote kuhusu ndoa,,,we alokwambia mwanamke kunyenyekea ndoa inakua salama nani!!?

ivi unawajua wanawake kiundani lakin,,sema sio kosa lako ushazoea mishangaz 🥲😂😂🙌🏾
 
Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Motivation speakers Mimi huwa siwasikilizi
 
Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Kipimo chako cha usalama ni kipi?
 
Back
Top Bottom