Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa kama ni Me je??mwenye nyumba ni ke au me??
tuanzie hapo
AlahKwa usalama wa tigo yako / papa /pumbu zako hama haraka!
Swali lako la piliHahahahaaa kama ni Me je??
Anammendea mtoa posti?
wakuu huu ujenzi wa hiki choo unamenishangaza kiukweli
Haiwezekani kugeuza sinki la choo ligeukie upande wa mlangoni yani Apo ukingia makalio yanageuka kwa mlangoni unless uwe mkaidi ugeuke kawaida
"Wachaga wacheni izo"View attachment 1804480
Huo ujenzi wa kugeuza shimo la choo umeuwelewa lakiniHiki choo mbona kichafu hivi!? 😩😩😩😩😩 poleni baadhi ya mnaopanga kwenye nyumba chafu kama hii.
Huo ujenzi wa kugeuza shimo la choo umeuwelewa lakini
Kifupi mwenye nyumba anawaweka wapangaji majaribuni kila waendapo msalani
Nimejaribu kuvaa ivyo viatau vya wapangaji vimenipwayaNimeulewa lakini cha kwanza cha kulalamikia ilistahili kiwe ni uchafu wa hicho choo. Kwani hamlipi kodi zenu hadi mkubali kutumia choo kichafu kiasi hicho? Mkiwa na umoja na kumshinikiza huyo mwenye nyumba ni lazima akisafishe inavyostahili.
Uliyepiga picha hiki choo umejizalilisha sana wewe na mwenye nyumba wakowakuu huu ujenzi wa hiki choo unamenishangaza kiukweli
Haiwezekani kugeuza sinki la choo ligeukie upande wa mlangoni yani Apo ukingia makalio yanageuka kwa mlangoni unless uwe mkaidi ugeuke kawaida
"Wachaga wacheni izo"View attachment 1804480
Nafikiri ujumbe umemfikiaUliyepiga picha hiki choo umejizalilisha sana wewe na mwenye nyumba wako
ujenzi umeuonaje lakini ni sawa kweliUmefika kwa mth,Tayari umeshaanza kupiga picha choo chake,,yani qatu[emoji848]
😀Huyo mwenye nyumba ni mende