Nataka nione kama yuko serious au vepeMbona unamshurutisha na kumharakisha boss
Ni ya gharama sana?Maana hapo anapangisha kwa ajili yao sio yake, maeneo hayo anayosema kupata nyumba anayoitaka kwa bei hiyo ni changamoto.
Aje pm mkamalize jamboNataka nione kama yuko serious au vepe
Haya tanguliza advanceIsi zidi laki mbili na nusu yaani nyumba iwe self hali mzuri maeneo nilio kutajia hap ila msasani itakuwa vizur
Njoo Tbt.Lenie embu nisaidie rafiki yako hapa kodi inaisha kesho kutwa
Hujajibu jinsi yako ni ipi....Ili tumshauri Shem au wifi ajiandae kuwa na moyo wa kumchukulia mama kama mama ake mzaziIla mimi namtaka sana ndiye mzazi nilie bakiwa naye na nimepewa jukumu la kumtunza na baba yangu siku anakata roho uho ndio husia alionipa
Hiyo gharama ndogo mwaka jana nilitafuta nyumba maeneo hayo kwa bajeti hiyo niliishia kutoa site fee tu kwa madalali.Ni ya gharama sana?
😳KumbeHiyo gharama ndogo mwaka jana nilitafuta nyumba maeneo hayo kwa bajeti hiyo niliishia kutoa site fee tu kwa madalali.
Usingejuta, upande mzima self...na bata kama lote mitaa ya jirani tu.Tabata hapana ni mbali na kazini pili sijapelewa sana
Mbona unakuwa mkali sasa....twende taratibu taratibu tutaelewana tu mkuuNimekwambia baba wa familia mimi