Mwenye nyumba

Mama tu nyumba ya laki 2 ya nn....tena wamama hata hatukai sana Kwa wanetu
Ila mimi namtaka sana ndiye mzazi nilie bakiwa naye na nimepewa jukumu la kumtunza na baba yangu siku anakata roho uho ndio husia alionipa
 
Ila mimi namtaka sana ndiye mzazi nilie bakiwa naye na nimepewa jukumu la kumtunza na baba yangu siku anakata roho uho ndio husia alionipa
Hujajibu jinsi yako ni ipi....Ili tumshauri Shem au wifi ajiandae kuwa na moyo wa kumchukulia mama kama mama ake mzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…