Mwenye pesa kwa ajili ya kufungua maabara ya kupima watu

Mwenye pesa kwa ajili ya kufungua maabara ya kupima watu

magai majigo

Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
76
Reaction score
27
Kama kichwa cha habari kinavosema location nzuri ipo kwa ajili ya kufungua maabara ya kupimia watu malaria, UTI, typhoid n.k eneo hilo kuna dispensary moja lakin wananchi wote hawana imani nayo wakihitaj kupata vipimo hadi wapande magari kwenda gongo la mboto. FREMU ipo ni mbili ila imeunganishwa ikawa moja bei yake n elfu 80 kwa mwezi tu. NAWAKARIBISHA WOTE WENYE NIA NA MAABARA YA BINADAMU. Kwa maelezo zaid tuwasiliane kwa namba hii 0658047048

Sent from my SHV-E210K using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom