Kumbuka tu Yanga ni timu ya wananchi wa Tanzania. Na siyo timu ya Wahindi wa Bombay, au New Delhi.Kama kuna Mtu ana picha ya Waziri, Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Katibu Tarafa, Mtendaji Kata, au basi hata kiongozi wa mtaa wa Kariakoo akiongea na wachezaji wa Simba au Yanga zilizopokuwa hatua ya makundi michuano ya CAF naiomba.
Nina matumizi nayo tafadhali.
Picha haina uhusiano na ombi hili.View attachment 2644225
Mimi nasema uto mpigwe tu hakuna jinsi nyingineNyie wapumbav sana. Yaani mnaona Waziri anazurura, shenzi sana
kwa hiyo kule anaenda kama mgeni rasmi?Kumbuka tu Yanga ni timu ya wananchi wa Tanzania. Na siyo timu ya Wahindi wa Bombay, au New Delhi.
Ni waziri wa wizara gani?Waziri mzima anakosa kazi za kufanya yupo anazurura na ndege na masuruali yake.
Huyu mama ni dokta ila ni mweupe aiseee kwani dokta yake ni ya nini? lugha au?
Rais wa Ufaransa alikwenda Qatar mechi ya fainali.Kama kuna Mtu ana picha ya Waziri, Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Katibu Tarafa, Mtendaji Kata, au basi hata kiongozi wa mtaa wa Kariakoo akiongea na wachezaji wa Simba au Yanga zilizopokuwa hatua ya makundi michuano ya CAF naiomba.
Nina matumizi nayo tafadhali.
Dokta Anayejulikana Tanzania Ni Msukuma, TaletaleWaziri mzima anakosa kazi za kufanya yupo anazurura na ndege na masuruali yake.
Huyu mama ni dokta ila ni mweupe aiseee kwani dokta yake ni ya nini? lugha au?
Na nyinyi mpunguze malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu. Tanzania ni nchi huru, na haifuati utaratibu wa Algeria.kwa hiyo kule anaenda kama mgeni rasmi?
watanzania tuache ujinga na unafiki mbona wiki iliyopita sikumuona waziri wa Algeria hapa kwetu
Nilichogundua Mashabiki wa simba wana wivu wa kijinga fulani hivi, Ingekuwa simba amefanyiwa haya wala tusingemind zaidi ya kutupa morali tupambane tufikie huko, hiyo ndiyo tofauti ya Mashabiki wa Yanga na SimbaNa nyinyi mpunguze malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu. Tanzania ni nchi huru, na haifuati utaratibu wa Algeria.
Kwa hiyo kama Waziri wa Algeria hakuja Tanzania, basi na Waziri wa Tanzania haruhusiwi kwenda kuipa hamasa timu Algeria!
Pambaneni na nyinyi mfikie hiyo hatua ili mpewe ndege ya bure na serikali plus msafara wa Waziri wa michezo.
Hamnaga wahaya wajinga Kama... Ungejiita nshomile wakisukuma asee..Waziri mzima anakosa kazi za kufanya yupo anazurura na ndege na masuruali yake.
Huyu mama ni dokta ila ni mweupe aiseee kwani dokta yake ni ya nini? lugha au?