Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kama kuna Mtu ana picha ya Waziri, Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Katibu Tarafa, Mtendaji Kata, au basi hata kiongozi wa mtaa wa Kariakoo akiongea na wachezaji wa Simba au Yanga zilizopokuwa hatua ya makundi michuano ya CAF naiomba.
Nina matumizi nayo tafadhali.
Nina matumizi nayo tafadhali.