Uchaguzi 2020 Mwenye picha ya Magufuli 2015 akiwa amepiga magoti jukwaani kuomba kura aniwekee hapa

Hapo kabla ya kupiga magoti alipiga yowe kuu kama analata roho
"Nileteeni gwajimaaaa"
"Nileteeni Gwajimaaaaaaa"
"NILETEENI GWAJIMAAAAAAAAA"
"UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII"
 
Hapo kabla ya kupiga magoti alipiga yowe kuu kama analata roho
"Nileteeni gwajimaaaa"
"Nileteeni Gwajimaaaaaaa"
"NILETEENI GWAJIMAAAAAAAAA"
"UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII"
Kweli mkuu.
 
Safari hii push up imebuma
Akipiga push ups ule moyo wa plastic(inasemakana umetengenezwa kwa mifuko ya rambo iliyopigwa marufuku) utapasuka na ndo utakuwa mwisho wake, ameshauriwa abadili style, awe anapiga magoti na siyo push up
 
2015 alikuwa na squad makini iliyosheheni wajuvi wa siasa, akina Kinana, Nape, Makamba Sr &Jr, Kikwete, Mkapa, e.t.c. Hivi sasa kasuswa kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…