Mwenye picha ya msanii Pig Black/P1 black

Hivi pig black ndio kashindwa kutoka hata singeli..duh we miss him..hata coverage moja sijawahi msikia
 


Nenda youtube, andika Pig black ft mr blue Nisikilize mm........hapo utampata vyema
 
lile beat mi huwa linanimaliza,kile kipindi cha sauda mwilima alikua analitumia kipindi kikianza na kwisha nilikua nawahi niliskii,P funk mikino yake balaa.
We ni mwanamke? Maana kibongobongo mwanamke kujua vitu kama vile ni adimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…