sylvesterwille
Senior Member
- Nov 29, 2013
- 172
- 41
Drop the bomb yooo...Yaaa P yooo yaaah
Nini mnataka mazeee Waaaaah. [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji3] hapana chezeyaa aisee. Ndio maan flash yangu GB 64 nimeingiz Long Audio 6975 Ya kwanza ni Berry black-Nakupenda. Afu ya Mwisho ni Sollo thang-Ndugu zangu.
black rhino pia sema pig black alikuwa closer sana nakina Jay kipindi walipokuwa na click waliyoiita choka mbaya kamaunakumbukumbu vizuriUmechanganya madesa mkuu, yule ni Simple X aka Mzee wa ngano.
mzee wa busaraMtoto Iddi
Hakuna kulala
Hili game
Naona zote hizo kali
Mkuu fanya bidii uutupie hapa, nautafuta sana siupatiNnao mkuu ila jinsi ya kutupia ni janga
Mtoto wa zero brain shemeji wa watoto wa forodhani
Jamaa nahisi ana mambo mengine anafanyaKwa nini aliacha muziki?Style yake ni so unique
Mkuu magomeni kanisani ni wapi? Unazungumzia kanisani pale Morocco hotel au wapi?upande upi? Wa kule garden breeze au upande ule kama unaenda tandale?Pig alikua anabeba sembe na alikua kwenye payrole ya shkuba.anashinda kinondoni maskani kwao na anakaa pale magomeni kanisani mkono wa kulia kutoka kituo cha mwendokasi.ulizia pig utampata laiv
Mkuu umezipata wapi? Anatumia jina gani insta na fb?jamaa amekaa kihip hop sana huyu.
Mkuu upo serious au unazingua tu??Pig black jina lake halisi ni mbungangali jumanne foto yake sina
Sema kwenye nisikize mii,,alimnyea sana dudubaya,Niskize mi...u know me... Mtoto wa mjini kazini kuwarusha skomi, .....
Pale morroco hotel.ukivuka barabara mkono wa kulia kama unaelekea kinondoni kuna mafrem kibao.sasa ukiambaa ambaa na njia hiyo yanapoishia mafrem tu kuna mtaa.fata huo.nyumba ya kwanza ina fens ya mabati yamechoka ndo humo.nje pamechoka ila humo ndani ni balaa.mke wake ni mweupe pee anaitwa Tamrina.huwez poteaMkuu magomeni kanisani ni wapi? Unazungumzia kanisani pale Morocco hotel au wapi?upande upi? Wa kule garden breeze au upande ule kama unaenda tandale?