Mwaka 2000 mpaka 2013 mwanza ilikuwa ya moto sana kiburudani Sahara media ikiwa na the kiss fm, na Radio free Africa pamoja na chuo cha SAUT MWANZA viliipaisha sana MWANZA enzi hizo SAUT wanasoma watoto wakishua tu ambao bata ilikuwa ndio imani yao asikwambie mtu MWANZA ilikuwa tamu bwana enzi za kina zamaradi mtetema kina vick kamata,, kina kid bwai aisee walipaisha MWANZA vibaya mno na mwanza ikawa the place to be, na ukipita mitaa ya mwanza ukasema ukasema wewe ni mwanafunzi wa malimbe unaonekana mhuni, malayw na una ukimwi kwa jinsi wanafunzi walivyouchangamsha mji maana bata Monday to Friday no boom watoto wanatumia pesa za wazazi wao na mabwana zao aiisee Rock City Rock City kweli week end ikifika ni mashindano ya kutumia pesa na toto z SAUT kati ya wauza samaki na wafanyakazi wa migodini kutoka mwadui shinyanga geita mwanza , resolute nzega, na buzwagi kahama yani nia vurugu mwanzo mwisho
Acha hii SAUT ya leo wamejazana watoto wawakulima na wafungaji kupitia bodi ya mikopo elimu ya juu SAUT enzi hizo ukiwa na boom unajificha watu wasijue maana utaonekana dhaifu wewe choka mbaya huna pesa kapuku wewe yani ile ATM ya CRDB pale boom likitoka huoni foreni maana ukipanga foreni unaonekana choka mbaya wewe utachekwa siunajua akili za utoto na ujana maana kuna watu walikuwa na pesa za wazazi wao
Mliopo mwanza msalimieni sana DJ ALLY