mtafutie basi bbyNgoja waje wataalamu
Ramani ya chumba changu tu sijui ipoje nitaijua ya dar😂mtafutie basi bby
😂 😂 😂 sijui anataka nini, ila akinilipa ninamtembeza tu kwakweliRamani ya chumba changu tu sijui ipoje nitaijua ya dar😂
😂😂😂 😂 😂 sijui anataka nini, ila akinilipa ninamtembeza tu kwakweli
Google map haiwezi kuwa usefulHabari ndugu zangu leo sina mengi naomba mwenye ramani ya mkoa wa dar es salaam inayoonesha mipaka ya wilaya na mitaa yake aniwekee hapa kwa mfumo wa PDF au picha kwa mfumo wa JPGE/PNG nina uhitaji nayo muhimu sana, nitashukuru sana kwa msaada huo. Mungu awabariki, karibuni sana canada.
sina nia mbaya nataka hiyo ramani kama overview layout nipate kufanikisha mpango wangu wa kujenga apartments kila wilaya ntakayochagua.. sipo Tanzania kwasasa.Sema lengo lako kwanza kisha utapata msaada.
Ramani ina mengi na huficha mengi. Watu wengine wanaweza kuitumia kwa nia mbaya.
Kama lengo lako ni vema, nenda ofisi ya Mkuu wa Mkoa, watakupatia. Au nenda Wizarani, Dodoma. Watakupatia.
sina nia mbaya nataka hiyo ramani kama overview layout nipate kufanikisha mpango wangu wa kujenga apartments kila wilaya ntakayochagua.. sipo Tanzania kwasasa.
Habari ndugu zangu leo sina mengi naomba mwenye ramani ya mkoa wa dar es salaam inayoonesha mipaka ya wilaya na mitaa yake aniwekee hapa kwa mfumo wa PDF au picha kwa mfumo wa JPGE/PNG nina uhitaji nayo muhimu sana, nitashukuru sana kwa msaada huo. Mungu awabariki, karibuni sana canada.
Swali la amani na uraia mwema.....hivi, wewe ni Mwarabu, Msomali au Muislam mwenye siasa kali asiyewaza mazuri tu zaidi ya kujilipua mabomu mwilini na kuua wenzio wasio na hatia?Habari ndugu zangu leo sina mengi naomba mwenye ramani ya mkoa wa dar es salaam inayoonesha mipaka ya wilaya na mitaa yake aniwekee hapa kwa mfumo wa PDF au picha kwa mfumo wa JPGE/PNG nina uhitaji nayo muhimu sana, nitashukuru sana kwa msaada huo. Mungu awabariki, karibuni sana canada.
Hapana mkuu! mimi ni mtanzania kiasili, sina attachments zozote za ugaidi, sipendi kuuwa mtu/watu. Peace!Swali la amani na uraia mwema.....hivi, wewe ni Mwarabu, Msomali au Muislam mwenye siasa kali asiyewaza mazuri tu zaidi ya kujilipua mabomu mwilini na kuua wenzio wasio na hatia?