Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #21
hamna vya bure mwwayaDuh kumbe kuna gharama za kulipia hadi serikalini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna vya bure mwwayaDuh kumbe kuna gharama za kulipia hadi serikalini
sijuiKufungisha anafanya nani kizeregale?
Acha hizo. Shughulisha kichwa chako kabla hujaomba msaada.isiyo na fomula kila mtu anaweza andika
msaada ni kitu gani?Acha hizo. Shughulisha kichwa chako kabla hujaomba msaada.
yaaan daahHadi kufunga nayo ji hela...si Bora muinywe bia kreti na kilo tano nyama choma
Ushauri wa nini na wakati maelezo yako clear kabisa?msaada ni kitu gani?
Hamna sehemu nimeomba msaada hapa
Nimeleta tushauriane kama unaona ushauri n msaada bas una safari ndefu kwene hii dunia
... Utajaziwa fomu ya Tangazo la siku 21, lenye majina na Picha zetu mbili 😂 ... Mkuu naona hutaki utani na wewe umeamua kujiwekaHakuna Barua, Nenda Ofisi ya Kata akuandikie barua ya kukutambua wewe ni mkazi wa eneo hilo , uwe na passport mbili, nida au nida namba, barua ya mtendaji itaeleza lengo lako, utachukua barua unaenda nayo kwa mkuu wa wilaya utajaziwa fomu ya tangazo la siku 21 lenye majina na picha zetu mbili inatoonesha tarehe ya ndoa, tangazo litabandikwa kwa mtendaji na ofisi ya mkuu wa wilaya kwa siku 21. zikipita unafunga ndoa, kazi inabaki moja kuto mbana tu